Us visa

Us visa

Bado Niponipo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2008
Posts
680
Reaction score
168
Kama unataka kwenda kuomba student visa ubalozi wa marekani hapa Dar es salaam ni vitu gani unavyotakiwa kuwa navyo, ninayo I-20 na vyeti vyangu vya high school na diploma, je ni vitu gani zaidi ninatakiwa kuwa navyo sitaki kuwapa jamaa wa ubalozini nafasi yakunimwaga nataka niende kiniwa nimejiaandaa na document zote.

Naombeni msaada wenu

Asanteni.
 
Hakikisha una bank statement inayoonyesha flow ya hela nzuri kwa muda mrefu na bank letter inayokutambulisha kama mteja wa muda mrefu usiye na matatizo, hizi bank documents ni muhimu ziwe za nguvu.

Pia itasaidia ukiwa na document zinazoonyesha kwamba una strong ties na nyumbani (kama una barua ya muajiri inayoonyesha unakwenda kusoma na unatakiwa kurudi kufanya kazi baada ya kumaliza masomo, kama una nyumba, mke, shamba na vitu vingine vya kuonyesha chances za kuishia Marekani ni ndogo) ili kuowaondoa na wasiwasi wa kurudi kwako, unaweza kuongezea vingine lakini hizi ni muhimu kabisa.

Ma councillor wa ubalozini wanakuwa assessed ka jinsi gani wao wanaweza kuwa asses waomba visa, na kwa mujibu wa vyanzo vya uhamiaji wao (hii ilikuwa mara baada ya 9/11) councillors wanaowapa watu wengi wasiorudi/ wanaoondoka shuke bila kufuata mpango visa wanaonekana hawajafanya kazi zao vizuri.Ndiyo maana siku hizi uhamiaji unafuatilia mpaka attendance ya foreigners vyuoni.
 
Hakikisha una bank statement inayoonyesha flow ya hela nzuri kwa muda mrefu na bank letter inayokutambulisha kama mteja wa muda mrefu usiye na matatizo, hizi bank documents ni muhimu ziwe za nguvu.

Pia itasaidia ukiwa na document zinazoonyesha kwamba una strong ties na nyumbani (kama una barua ya muajiri inayoonyesha unakwenda kusoma na unatakiwa kurudi kufanya kazi baada ya kumaliza masomo, kama una nyumba, mke, shamba na vitu vingine vya kuonyesha chances za kuishia Marekani ni ndogo) ili kuowaondoa na wasiwasi wa kurudi kwako, unaweza kuongezea vingine lakini hizi ni muhimu kabisa.

Ma councillor wa ubalozini wanakuwa assessed ka jinsi gani wao wanaweza kuwa asses waomba visa, na kwa mujibu wa vyanzo vya uhamiaji wao (hii ilikuwa mara baada ya 9/11) councillors wanaowapa watu wengi wasiorudi/ wanaoondoka shuke bila kufuata mpango visa wanaonekana hawajafanya kazi zao vizuri.Ndiyo maana siku hizi uhamiaji unafuatilia mpaka attendance ya foreigners vyuoni.

Blueray Asante kwa msaada wako,

Kazi kwangu naona iko tofauti kidogo kwa kuwa kwa mimi binafsi sina hela ya kujisomesha lakini mme wa sista ndo amejitolea kunipeleka shule US yeye yuko safi sana financially, lakini issue za strong ties sina wala nini hata kiwanja sina bank account yangu ina hela ya ticket tuu, sijawahi kufanya kazi ya kuajiliwa kwa hiyo barua ya mwajili itakuwa mzozo kidogo natoka vipi hapo.
 
kijana worry not.....hata kama hujaajiliwa na huna kazi....mfadhili wako kama ulivyomtaja akupe bak statement yeye ndio ataidhinisha kuwa atakuwa sponsor wako kwa kila ki2 ukiwa majuu...
btw mkuu soma link hii chini mengine ina kila kitu....

Student Visas

usitusahau ukifika majuu tutumie hata raba mtoni.....
 
kijana worry not.....hata kama hujaajiliwa na huna kazi....mfadhili wako kama ulivyomtaja akupe bak statement yeye ndio ataidhinisha kuwa atakuwa sponsor wako kwa kila ki2 ukiwa majuu...
btw mkuu soma link hii chini mengine ina kila kitu....

Student Visas

usitusahau ukifika majuu tutumie hata raba mtoni.....

Asante Yo Yo,

Hivi vitu za strong ties zilikuwa zinanitia kichaa, mimi mwenyewe choka mbovu account inapumulia mirija ya oksijeni na kazi sijawahi fanya nimemeliza shule kama miezi minne imepita, kwa hiyo hapo barua ya mwajiri sahau, sina kiwanja, mtoto wala mke ndio maana nikaona ngoja niombe ushauri hapa jamvini.
 
Asante Yo Yo,

Hivi vitu za strong ties zilikuwa zinanitia kichaa, mimi mwenyewe choka mbovu account inapumulia mirija ya oksijeni na kazi sijawahi fanya nimemeliza shule kama miezi minne imepita, kwa hiyo hapo barua ya mwajiri sahau, sina kiwanja, mtoto wala mke ndio maana nikaona ngoja niombe ushauri hapa jamvini.
haina kweeeeeere mkuu JF utapata kila kitu hata ukitaka sehemu ya kufikia m PM FMES au Nyani ngabu ni watu wakarimu na wema sana.....

mie nsahtoswa sana ubalozi mkuu nikaenda mpaka malawi wapi wakatosa......na mwaka huu wameninyima kijani yao......arrrrg
 
haina kweeeeeere mkuu JF utapata kila kitu hata ukitaka sehemu ya kufikia m PM FMES au Nyani ngabu ni watu wakarimu na wema sana.....

mie nsahtoswa sana ubalozi mkuu nikaenda mpaka malawi wapi wakatosa......na mwaka huu wameninyima kijani yao......arrrrg

Yo Yo!!nasikia Nyani karudi yuko tabata anamtayarishia anko wake makablasha ya uchaguzi wa mwaka ujao..

FMES anaweza anza kunifundisha u-dj nikasahau shule...will pass that..

Poa ngoja nikusanye hizo document halafu nitatinga kutest zali....du mwana ulifunga safari mpaka malawi, passport yako ya malawi bado unayo?..usiitupe.. bill ya dual citizenship karibu inapitishwa...lol
 
Kama umemaliza diploma hapa bongo na unaenda kuchukua bachelor degree in USA, na iwapo kozi unayoenda kuchukua, inafundishwa kwenye vyuo vya hapa bongo kuna swali huwa wanapenda kuuliza. Unaweza kuulizwa sababu inayokufanya kwenda kusoma hiyo kozi in USA wakati bongo ipo. Hivyo uwe tayari kujiandaa kujibu hilo swali iwapo utaulizwa.
Nakutakia kila la kheri kwenye maandalizi yako.
 
Wakuu mwageni ma ujanja na experience basi kijana wenu nitoke...au mnataka nifulie..lol
 
Back
Top Bottom