Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Chama Cha Jamii (CCJ), Jumatatu ijayo kitakwenda kwa Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa, kuomba usajili wa kudumu baada ya kutimiza sharti la kupata wanachama 2,000 katika mikoa 10. Chama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Geofrey Nyang'oro FAMILIA ya Musa Juma anayedaiwa kuuawa na polisi wa kituo cha Changombe jijini Dar es Salaam jana alishindwa kupata majibu ya awali ya uchunguzi wa kifo hicho baada ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
"Self Appraisal" A little boy went into a drug store, reached for a soda carton and pulled it over to the telephone. He climbed onto the carton so that he could reach the buttons on the phone...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndesamburo alisema hayo alipotakiwa na gazeti hili kutolea maoni kauli ya Rais Kikwete kuwa wanasiasa wanaokusudia kutoa, kuomba au kushawishi rushwa katika uchaguzi ujao, watakiona. "Hakuna...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
WANAFUNZI 33,662 kati ya 39,189 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana na kufaulu, wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano katika shule za Serikali na vyuo vya ufundi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Masoud Masasi VITENDO vya chuki vimeendelea kushika kasi katika eneo la Pugu Mwakanga jijini Dar es Salaam kati ya wenyeji na wakazi wa Kipawa waliohamia katika eneo hilo, baada ya Elisante...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Akihutubia Taifa jana katika hotuba yake ya mwisho ya mwezi, Rais Kikwete alisema chimbuko la kutungwa sheria hiyo ni mwenendo usioridhisha wa matumizi ya fedha katika uchaguzi nchini. “Kuna...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Monkeys learn more from females...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
sio mahalili pake nimeiondosha na kuweka inapostahiki.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mods naomba muiache kwa muda video hii, nimeipenda sana lakini sijui maneno yanayosemwa. Baadaye muipeleke panapohusika tafsiri ikishapatikana, asante. Huyu mama anamwambia nini mwanaume kwenye...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
A FORMER Cabinet Minister, Mr Anthony Diallo, has filed a suit at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam against activist Kainerugaba Msemakweli, demanding among others, payments...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
The World Carrot Museum has discovered several groups of people who make musical instruments from Carrots (and other vegetables and fruit). Click here to read more about each individual group...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naumia, naumia, naumia hata sijui nimlilie nani katika hili jambo nililoliona mchana wa leo ! Nilikuwa maeneo ya Kipawa karibu na Sido Mkoa nikashuhudia magari makubwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
i missed u guyz so much yaani. Ni juzi jf ilipokuwa offline ndipo nkagundua kuwa na mie ni mmoja wa waathirika tusioweza kupitisha siku bila kujidunga kitu inaitwa jf. jana nzima nayo kila...
0 Reactions
55 Replies
4K Views
Leo nimeona kwenye TV Rais wetu akipokea JEZI ya RONALDO ambayo ni zawadi toka Real Madrid kwa kutambua nini sijui wanajua wenyewe........... Katika speech yake alishukuru eti ANASHUKURU SANA...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Habarini za mchana Jamani mimi kuna kitu kinanitatiza, nashindwa hata kuelewa. Kwa kawaida mtu unapokata ticket ya ndege as RETURN TICKET si huwa inaandika unaondoka lini na kurejea lini...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
To better understand the background and environment that breeds situations of abuse of OFWs: "It was like a bad dream" is the way one migrant worker from the Philippines summed up his experiences...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi inawezekana JF kukawa na membaz ambao wako real willingly kutoa details zao?namaanisha kwamba no zao zikajulikana kwa mfano hili tatizo la Jf for these two daiz,mm niko tayari kutoa my no ili...
0 Reactions
72 Replies
6K Views
Fungua hapa na ufurahi!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nimeona Barua ofisini ya kukumbushia wale waliopata mkopo kwenye Bodi ya mikopo na bado hawajaanza kulipa waanze kufanya hivyo mara moja lasivyo mwajiri pamoja na mwajiriwa atachukuliwa hatua...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom