jossey1979
Senior Member
- Apr 28, 2008
- 172
- 41
Leo nimeona Barua ofisini ya kukumbushia wale waliopata mkopo kwenye Bodi ya mikopo na bado hawajaanza kulipa waanze kufanya hivyo mara moja lasivyo mwajiri pamoja na mwajiriwa atachukuliwa hatua kali.
Ningeomba iwe hivyo na kwa mafisadi pia Mungwana.
Ningeomba iwe hivyo na kwa mafisadi pia Mungwana.