cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
i missed u guyz so much yaani.
Ni juzi jf ilipokuwa offline ndipo nkagundua kuwa na mie ni mmoja wa waathirika tusioweza kupitisha siku bila kujidunga kitu inaitwa jf.
jana nzima nayo kila nikitaka kulog in nikawa siwezi,nikasema no way niwe baned mbona sijavunja sheria jamani.
i love u all my jf memberz.
Ni juzi jf ilipokuwa offline ndipo nkagundua kuwa na mie ni mmoja wa waathirika tusioweza kupitisha siku bila kujidunga kitu inaitwa jf.
jana nzima nayo kila nikitaka kulog in nikawa siwezi,nikasema no way niwe baned mbona sijavunja sheria jamani.
i love u all my jf memberz.