17th February 10
Moto wa ajira sasa wafukuta Bandari
Mwandishi Wetu
Moto umeanza kufukuta katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Nchini, (TPA), ambapo wafanyakazi wamemshutumu Mkurugenzi wa...
HANDBOOK 2010
Health:
1. Drink plenty of water.
2. Eat breakfast like a king, lunch like a prince and dinner like a beggar.
3. Eat more foods that grow on trees and plants...
Watu watatu wamekufa na mwingine kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari wakiwa wamebebwa kwenye pikipiki mkoani Pwani.
Kamanda wa Polisi mkoani Pwani, Absalom Mwakyoma, alisema ajali hiyo ilitokea...
Kehinde Wiley paints African football
February 11, 2010 · 1 Comment
The German shoe and sportswear company, Puma, sponsors at least 12 African national football teamsfive of which...
Enter Rwandan President Paul KAGAME, Ugandan President Yoweri MUSEVENI, and Libyan President Muammar QADDAFI. A corpulent Kenyan President Mwai KIBAKI sits on the sofa, stuffing his face with...
Yaliyotokea mkoani Mara yanatishia sana amani ya nchi yetu.
Hofu sasa imeanza kutanda, amani hamna tena,
ukiwa na mali japo kidogo tu, maadui wengi wanaibuka kila kona.
jeshi letu la kutulinda...
Tiny Toad, Big Mission
kihansi-toad
The Kihansi spray toad, which has hopped into oblivion in its native home of Tanzania, has found a safe haven at the Wildlife Conservation Societys Bronx...
What makes high-achievers different?
Kama hujapata kumsikia huyu mwandishi, tafuta vitabu vyake amazon.com anaandika mambo mengi muhimu.
Anaitwa Malcolm Gladwell...
A DRIVER, Juma Issa (19), has appeared before the Kinondoni Resident Magistrates Court charged with abduction of a Form Three schoolgirl and preventing her from attending school by detaining her...
The end of washing-up! Revolutionary kitchen does away with pots and pans
Last updated at 11:40 AM on 17th February 2010
A cooker that doesn't use pots and pans could one day be taking...
Tanzanian ruby valued at £11m sells for just £8,000 after being proved to be a lump of rock
Last updated at 5:16 PM on 17th February 2010
A giant ruby once valued at £11million has sold...
Mwanaume mmoja nchini Uingereza amefikishwa mahakamani kwa kumuua mpenzi wake aliyemkebehi kuwa ana uume mdogo sana hivyo hawezi kumtosheleza hamu zake za kimapenzi.
Peter Ling, 50, aliiambia...
*Wanakijiji wafurika ofisi za mtaa
*Watalaam wa tiba za jadi wamsafisha uchawi
JANA gazeti hili liliendelea na habari ya kusikitisha ya maisha ya msichana Odillia Mikka (15)ambaye alikuwa ni...
Kisima hiki kilizinduliwa na Shawn Corey Carter alizindua kisima hiki,
lakini cha kushangaza badala ya kuandikwa jina lake halisi, limeandikwa jina ambalo hata kwenye passport yake halipo.
Watu wa kabila langu ni wapole, wenye heshima, wanamapenzi ya kweli kwa wake zao, hodari wa kazi, ni wafugaji, wakulima, wavuvi,wachimba madini, ni wafanyabiashara, ni kabila lenye watu wengi...
Mfanyakazi ya ndani anayedaiwa kuwanga akiwa katika kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungu (UBT) tayari kusafirishwa kurejeshwa kwao Morogoro baada ya tuhuma hizo za...
Nimepata taarifa kuwa Alan Turner,mmoja wa waanzilishi wa executive solutions amefariki.
Nasikia Agrey Mareale na wafanyikazi wa Executive solutions wana huzuni kuhusu hicho kifo poleni
RIP
Mfanyakazi ya ndani anayedaiwa kuwanga akiwa katika kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungu (UBT) tayari kusafirishwa kurejeshwa kwao Morogoro baada ya tuhuma hizo za...