Remmy kweli ni ubunifu, lkn usiofaa!jamani wangekuwa wamenunua kwa pesa zao wasingefanya ubunifu wa namna hiyo.Watu wanapaswa kuelimishwa zaidi na kupewa condition wanapopatiwa net hizo.Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Ubunifu ni muhimu wakati mwingine.
Kwa hiyo demand ikizidi supply inabidi kwenda kinyume chake siyo?sasa Amoeba unataka kuniambia familia moja wameshapewa net nyingi kiasi kwamba hawajui wazifanyie nini zaidi ya kufanya ubunifu huo wa fancy,na kufunika kuku?!kweli bado tuna safari ndefu lkn Mungu ni mwema atafanya kitu.Nyie naona mnatazama jambo hili kwa upande mmoja tu! neti zinatumika sana, tatizo ni kwamba zimekuwa nyingi mno kuzidi mahitaji.
Kwa hiyo demand ikizidi supply inabidi kwenda kinyume chake siyo?sasa Amoeba unataka kuniambia familia moja wameshapewa net nyingi kiasi kwamba hawajui wazifanyie nini zaidi ya kufanya ubunifu huo wa fancy,na kufunika kuku?!kweli bado tuna safari ndefu lkn Mungu ni mwema atafanya kitu.