Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Wadau naomba msaada wenu.
Nipo kikazi huku kusini mwa Tanzania. ni karibia wiki moja sasa, na nitakaa kwa wiki nne.
Mara ya kwanza nilifikia katika gest moja hivi ya kawaida tu. Lakini kuna rafiki yangu ambaye anaishi huku aliniomba sana nikafikie kwake.
Nami bila hiana nikakubali, sasa naishi kwakwe.
Sasa cha ajabu kila nikiamka asubuhi nakuta nimechanjwa mwilini yaani kama nilijikwaruza hivi kwenye michongoma. Mara ya kwanza nikapuuzia.
Jana kabla ya kulala, baada ya sala nikaamua kulala na kitabu cha dini ninayoiamini.
Lakini leo nimeamka asubuhi, hadi usoni sasa nimekuta nina alama za kuchanjwa chanjwa.
Nimemweleza rafiki yangu kasema ni mambo ya kishirikina tu endapo nitayapuuzia basi sitopata madhara yeyote.
Kwa mwenye kuwa familiar na mambo kama haya, nini mwisho wa haya yote yanayonikuta?
Nifanye nini mwenzenu kwani hofu inanizidi sasa.
Nipo kikazi huku kusini mwa Tanzania. ni karibia wiki moja sasa, na nitakaa kwa wiki nne.
Mara ya kwanza nilifikia katika gest moja hivi ya kawaida tu. Lakini kuna rafiki yangu ambaye anaishi huku aliniomba sana nikafikie kwake.
Nami bila hiana nikakubali, sasa naishi kwakwe.
Sasa cha ajabu kila nikiamka asubuhi nakuta nimechanjwa mwilini yaani kama nilijikwaruza hivi kwenye michongoma. Mara ya kwanza nikapuuzia.
Jana kabla ya kulala, baada ya sala nikaamua kulala na kitabu cha dini ninayoiamini.
Lakini leo nimeamka asubuhi, hadi usoni sasa nimekuta nina alama za kuchanjwa chanjwa.
Nimemweleza rafiki yangu kasema ni mambo ya kishirikina tu endapo nitayapuuzia basi sitopata madhara yeyote.
Kwa mwenye kuwa familiar na mambo kama haya, nini mwisho wa haya yote yanayonikuta?
Nifanye nini mwenzenu kwani hofu inanizidi sasa.