Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Mema haya msije mkazembea mkayakosa:-
a)Nitachakachua matokeo na kuhakikisha CCM inashinda kwa zaidi ya asilimia themanini.
b)Nitaishinikiza NEC ifukuze wapigakura vituoni kurahisisha mashushu wangu wapendwa kujua jema la kunifanyia.
c)Nitaendelea kuahidi wapigakura kumaliza kero zao zote wanazozijua na zile ambazo hawazijui nikijua bayana ya kuwa miaka mitano ijayo sitaigusa kero hata moja kwani huko mbeleni yaani 2015 sihitaji kura ya mtu!
d)Sitafanya makosa kama aliyoyafanya Nyerere ya kuitekeleza familia yake kwa kuhakikisha ninajenga mazingira mazuri kwa kijana wangu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Msomi ambaye hajawahi kuonekana Ridhiwani Kikwete
e)Kwa ahadi hizi msiponichagua basi ninyi mna walakini!!!!!!!!!!!
a)Nitachakachua matokeo na kuhakikisha CCM inashinda kwa zaidi ya asilimia themanini.
b)Nitaishinikiza NEC ifukuze wapigakura vituoni kurahisisha mashushu wangu wapendwa kujua jema la kunifanyia.
c)Nitaendelea kuahidi wapigakura kumaliza kero zao zote wanazozijua na zile ambazo hawazijui nikijua bayana ya kuwa miaka mitano ijayo sitaigusa kero hata moja kwani huko mbeleni yaani 2015 sihitaji kura ya mtu!
d)Sitafanya makosa kama aliyoyafanya Nyerere ya kuitekeleza familia yake kwa kuhakikisha ninajenga mazingira mazuri kwa kijana wangu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Msomi ambaye hajawahi kuonekana Ridhiwani Kikwete
e)Kwa ahadi hizi msiponichagua basi ninyi mna walakini!!!!!!!!!!!