Nichagueni ili mnikumbuke kwa haya mema nitakayowafanyia!

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mema haya msije mkazembea mkayakosa:-

a)Nitachakachua matokeo na kuhakikisha CCM inashinda kwa zaidi ya asilimia themanini.


b)Nitaishinikiza NEC ifukuze wapigakura vituoni kurahisisha mashushu wangu wapendwa kujua jema la kunifanyia.


c)Nitaendelea kuahidi wapigakura kumaliza kero zao zote wanazozijua na zile ambazo hawazijui nikijua bayana ya kuwa miaka mitano ijayo sitaigusa kero hata moja kwani huko mbeleni yaani 2015 sihitaji kura ya mtu!


d)Sitafanya makosa kama aliyoyafanya Nyerere ya kuitekeleza familia yake kwa kuhakikisha ninajenga mazingira mazuri kwa kijana wangu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Msomi ambaye hajawahi kuonekana Ridhiwani Kikwete


e)Kwa ahadi hizi msiponichagua basi ninyi mna walakini!!!!!!!!!!!
 
Mema haya msije mkazembea mkayakosa:-

a)Nitachakachua matokeo na kuhakikisha CCM inashinda kwa zaidi ya asilimia themanini.


b)Nitaishinikiza NEC ifukuze wapigakura vituoni kurahisisha mashushu wangu wapendwa kujua jema la kunifanyia.


c)Nitaendelea kuahidi wapigakura kumaliza kero zao zote wanazozijua na zile ambazo hawazijui nikijua bayana ya kuwa miaka mitano ijayo sitaigusa kero hata moja kwani huko mbeleni yaani 2015 sihitaji kura ya mtu!


d)Sitafanya makosa kama aliyoyafanya Nyerere ya kuitekeleza familia yake kwa kuhakikisha ninajenga mazingira mazuri kwa kijana wangu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Msomi ambaye hajawahi kuonekana Ridhiwani Kikwete


e)Kwa ahadi hizi msiponichagua basi ninyi mna walakini!!!!!!!!!!!

duuu kwanini!?
 
Du hii kali,especially ile ya Familia yake na kutoonekana tena 2015 kuelezea mafanikio
 
Back
Top Bottom