Tanzania imepoteza rasilimali ya madini nyingi na mapato mengi huku umasikini wa wananchi ukiongezeka. Sasa sheria Mpya ya madini inakuja Bungeni tarehe 19 na 20 April 2010 kwa hati ya dharura...
Woman becomes first person banned from EVERY pub and club in the country
A woman has become the first person to be banned from buying or drinking alcohol anywhere in England and Wales...
Na
John Dotto
MTANDAO hatari umeibuka jijini Dar es Salaam ukijikusanyia mamilioni ya fedha kutoka kwa vigogo na wafanyabiashara maarufu baada ya kuwatengenezea mafumanizi ya kupanga na...
Ni vigezo gani vilitumika kuuita ukumbi mdogo wa Bunge Dodoma jina la mhesh Pius Msekwa badala ya Chief Adam Sapi,aliyekuwa Speaker wetu wa kwanza?:painkiller:
JAMANI HILI SI MTIHANI HUU AMA MAJAARIBU Ya ....kama mnaamua kuwazawadia wateja wenu wanufaike na mtandao wapen uhuru wa muda si mnajipangia mnavyotaka mida ambayo mnalala mkujua wenzenu...
Why holding cash can provide pain relief
Pain buster: A survey suggests handling money can reduce physical discomfort
Headache? Sore back? What you need is a wad of cash.
Research...
NIMEPEWA HII TAARIFA...SIJUI NI KWELI??
This plant that we have in our homes and offices is extremely dangerous!
Mmea huu unapatikana kwa wingi nchini Cameroon hata hapa kwetu u\,kwenye...
MTOTO wa miezi sita ametafunwa korodani zake na mbwa baada ya kuachwa peke yake ndani ya gari katika nyumba moja huko California, Marekani.
Mtoto huyo aliachwa katika kiti cha gari na mama yake...
Staili ya wanawake wengi nchini kuyatengeneza maumbo yao kwa kutumia dawa za Kichina, imeungwa shubiri na serikali ambayo imetangaza kuwa wote walioshepu figa zao hawawezi kupata msaada wa...
Kuna mazoea kwamba waandishi wa Ulaya na Amerika ni watafiti zaidi katika habari zao. Lakini yanapokuja masuala ya Kanisa Katoliki ni rahisi nao kukumbwa na ugonjwa uleule unaoitwa uvivu wa...
MCHUNGAJI Christopher Mtikila anashikliwa katika kituo kikuu cha jeshi la polisi kwa kilichodaiwa kuwa ni anavunjisha amani ya nchi, kwa kusambaza waraka unaomkashifu Rais Kikwete...
Kwa siku ya pili leo, nimetembelea duka moja ambalo liko njia ya kuelekea nyumbani. Ni duka kubwa kidogo na wanauza vitu vingi. Jana niliomba waniuzie vocha ya Vodacom ya shs 5000 lakini hawakuwa...
Naanza kwa kuwapa pole kwa msiba wanafamilia wa Chifu Marealle, poleni.
Ila nina ujumbe wao huu......
Siku hizi imekuwa taabu jamani, mara kuna mbio za chifu marealle, kumbukumbu maalumu ya chifu...
Nasikiliza kipindi cha Jahazi hapa cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na Gadna wametumia zaidi ya dakika 5 za kipindi chao wakiponda na kulalamika kuwa JF inajadili mambo binafsi ya watu badala ya...
Three hungry mouths saved by publics generosity digg
By Elizabeth Tungaraza
Several people have extended a helping hand to Sophia Salum, a 28-year-old mother whose anguish was decisively covered...
Kwenye taarifa ya TBC1 jana , kulikuwa na habari za kimiujiza kutoka huko Songea, ambapo kuna mahali pamegundulika kuwa na kisima au chanzo cha pesa cha kipekee, na watu wengi wa rika mbalimbali...
Frederick Katulanda na Israel Mgussi, Dodoma
BUNGE limepitisha Muswada wa Sheria ya watu wenye ulemavu wa 2010, huku Mbunge wa Karatu Dk Willibrod Slaa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Frederick...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.