Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,207
ZIARA YA DR. BILAL PHILIPS NCHINI TANZANIA

Dr. Bilal Philips (Dr. Abu Ameenah Bilal Philips) mzaliwa wa Jamaica na raia wa Canada atawasili Dar es Salaam, Tanzania, Ijumaa ya Desemba 17, 2010.
Dr. Bilal amealikwa na Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wataalam wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO). Madhumuni ya ziara ya Dr. Bilal ni kufanya kazi ya Dawah kuanzia Desemba, 17 mpaka 24, 2010, katika jiji la Dar es Salaam, Morogoro mjini na Zanzibar (Unguja).
Watanzania wa makundi mbalimbali wanakaribishwa kuhudhuria mikutano mikuu kama inavyoelezwa hapo juu.
Dr. Bilal amealikwa na Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM) kwa kushirikiana na Jumuiya ya Wataalam wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO). Madhumuni ya ziara ya Dr. Bilal ni kufanya kazi ya Dawah kuanzia Desemba, 17 mpaka 24, 2010, katika jiji la Dar es Salaam, Morogoro mjini na Zanzibar (Unguja).
Watanzania wa makundi mbalimbali wanakaribishwa kuhudhuria mikutano mikuu kama inavyoelezwa hapo juu.