Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Nasikia vyandarua ivi vya bure vimewekwa dawa ambayo inalast 5 years.
Inasemekana kama ukifua maji usimwage nje au kwa mimea bali mwaga chooni bse viumbe hai vyaweza zurika.
Kama ni kweli jamani sasa binaadamu ambaye anakitumia usiku inakuwaje.
Na kuna tetesi kuwa ni mpango wa watu weupe kukipoteza kizazi cha kiafrika either kuwa mazezeta ili kupunguza elements za watu kama akina Slaa,Xavery Lwaitama,Shivji,Ulimwengu,Warioba Sinde etc
On a serious note wife alivichukua viwili mpaka sasa viko store nataka siku nivifue alafu nimwage hayo maji kwenye majani walai memea ikikauka wizara ya afya wataanda majibu ya izi tuhuma
Inasemekana kama ukifua maji usimwage nje au kwa mimea bali mwaga chooni bse viumbe hai vyaweza zurika.
Kama ni kweli jamani sasa binaadamu ambaye anakitumia usiku inakuwaje.
Na kuna tetesi kuwa ni mpango wa watu weupe kukipoteza kizazi cha kiafrika either kuwa mazezeta ili kupunguza elements za watu kama akina Slaa,Xavery Lwaitama,Shivji,Ulimwengu,Warioba Sinde etc
On a serious note wife alivichukua viwili mpaka sasa viko store nataka siku nivifue alafu nimwage hayo maji kwenye majani walai memea ikikauka wizara ya afya wataanda majibu ya izi tuhuma