Kesi ya Mahimbo

jjeremiah

Member
Jul 30, 2010
43
13
Swali langu kwa wana jf wajuvi wa sheria ni kwamba sheria ya ndoa inatambua wahusika wawili tu, na kama endapo mmoja atakiuka mfano kwenda nje ya ndoa au kumkataa mwenzie bila sababu za kimsingi basi upande ambao hautaridhika na maamuzi ya mwenzie anaweza kufungua kesi ya madai ama kupinga maamuzi ya kutengana huko bila kutofautisha ni mume ana mke mwenye haki hiyo, Sasa swali langu kuhusu swala la Mahimbo kufungua kesi dhidi ya Slaa ya Tzs bilioni moja kama fidia ya kunyang'anya mke naona kama sio sahihi maana kwa maelezo hayo Mahimbo alitakiwa kumfungulia Josephine kesi kama hiyo na sio Slaa kama ilivyo sasa maana yeye alifunga ndo na Josephine na ndiye aliye kiuka mkataba, ama mfano kama Mahimbo ndiye ange kiuka na kwenda kuishi na mke mwingine je Josephine nae angeweza kuwa na haki ya kumfungulia kesi mwanamke ange kuwa na mahusiano na Mahimbo na sio Mahimbo kama yeye Mahimbo alivyofanya kwa Slaa
 
Unenayo ni kweli. Jesphine ndiyo haswa alipasa kuwa mdaiwa wa mahimbo. lakini nadhani wewe na mimi na kila mtu mwingine mwenye uelewa (isipokuwa wale mashabiki wa JK) anajua fika kwamba kesi hii ni mradi wa akina Makamba/Kinana dhidi ya Slaa.

Unajua, unapukuwa na chuki na mtu, huwi muangalifu katika kumchagulia tusi. majai wanatkiwa waitupilie mbali hiyo kesi siku ya mwanzo tu -- lakini si unajua tena majaji wetu walivyo? Miezi kadha iliyopita yule jaji mkubwa wao kabisa alikana mamlaka yake (kama mhimili mmoja wa dola) na kutamka kwamba Bunge ndiyo wenye mamlaka zaidi. That is of course shit. In this country evrything is upside down -- it's really f**** up!!! Oh yes it is!!!!
 
Watoe uamuzi tu kwamba suala hili ni la "kifamilia zaidi" kama walivyodai kuwa suala la mgombea binafsi ni la "kisiasa zaidi!"
 
swala hapa huyo bwana , alikuwa akai na mkewe iweje leo akurupuke ni mkewe? alikuwa wapi, je uroda mara ya mwisho alipewa lini?
 
Kesi Tamu Sana!

Albeit, the case before Makahama, dolour to Dr Slaa; you have a doctorate law degree, and understand Latin well:

Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)!

Shall the law establish, prima facie, the existence of wilful blindness on your part when taking in Josephine and children?

The burden of proof is initially on the plaintiff (Mr. Mahimbo)!

But due to technical situations, the burden may shift to you (Dr Sla) to refute or rebut submitted evidence.

Shall there be any reasonable probability that you (Dr Slaa) were negligent in causing Mr. Mahimbo's alleged injury?

You took in Josephine (as "kimada") to be your fiancée.

You took in Josephine's children.
 
Kesi Tamu Sana!

Albeit, the case before Makahama, dolour to Dr Slaa; you have a doctorate law degree, and understand Latin well:

Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)!

Shall the law establish, prima facie, the existence of wilful blindness on your part when taking in Josephine and children?

The burden of proof is initially on the plaintiff (Mr. Mahimbo)!

But due to technical situations, the burden may shift to you (Dr Sla) to refute or rebut submitted evidence.

Shall there be any reasonable probability that you (Dr Slaa) were negligent in causing Mr. Mahimbo's alleged injury?

You took in Josephine (as "kimada") to be your fiancée.

You took in Josephine's children.


That is what you think and not what the Law is.
 
Kesi Tamu Sana!

Albeit, the case before Makahama, dolour to Dr Slaa; you have a doctorate law degree, and understand Latin well:

Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)!

Shall the law establish, prima facie, the existence of wilful blindness on your part when taking in Josephine and children?

The burden of proof is initially on the plaintiff (Mr. Mahimbo)!

But due to technical situations, the burden may shift to you (Dr Sla) to refute or rebut submitted evidence.

Shall there be any reasonable probability that you (Dr Slaa) were negligent in causing Mr. Mahimbo's alleged injury?

You took in Josephine (as "kimada") to be your fiancée.

You took in Josephine's children.

1. Explain why should the burden of proof shift from the claimant to the respondent.
2. On 'Ignorantia juris non excusat (ignorantia legis neminem excusat)' Dr Slaa did not say he was ignorant of the law. According to the media report (which you relied on the above formulation) it was a mistake of fact (he didn't know his fiancee was married to the claimant or he mistakenly believed he wasn't married).
3. So, it is up to the claimant to prove Josephine (Dr Slaa's fiancee) is his legal wife.
 
Angeshtakiwa Josephine kwa kukimbia ndoa yake na kufanya uzinzi (kama alifanya anyway)! Anyway, sijawahi kuona kosa linaloitwa "kupora mke" kisheria, labda ni kosa jipya! Pia Dkt Slaa alikuwa hajamwoa Josephine, ni mchumba tu! Uchumba si ndoa, kwa hiyo hakuna mke "aliyeporwa," huyo Josephine kisheria bado ni mke wa mumewe Mahimbo kwa sababu ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kuvunja ndoa, si vinginevyo!
 
Unenayo ni kweli. Jesphine ndiyo haswa alipasa kuwa mdaiwa wa mahimbo. lakini nadhani wewe na mimi na kila mtu mwingine mwenye uelewa (isipokuwa wale mashabiki wa JK) anajua fika kwamba kesi hii ni mradi wa akina Makamba/Kinana dhidi ya Slaa.

Unajua, unapukuwa na chuki na mtu, huwi muangalifu katika kumchagulia tusi. majai wanatkiwa waitupilie mbali hiyo kesi siku ya mwanzo tu -- lakini si unajua tena majaji wetu walivyo? Miezi kadha iliyopita yule jaji mkubwa wao kabisa alikana mamlaka yake (kama mhimili mmoja wa dola) na kutamka kwamba Bunge ndiyo wenye mamlaka zaidi. That is of course shit. In this country evrything is upside down -- it's really f**** up!!! Oh yes it is!!!!

watch out the red color! tupe ushahidi.
 
Timing ya kesi, pia Makamba alidai kuwa Dkt Slaa anasumbuliwa na ndoa yake kabla ya hata kesi kufunguliwa!


Once you mention makamba i feel ill, dizzy, nausea, foolishness, etc makamba alifukuzwa ualimu why..? Alibaka, rape, makamba ana Wake 3, vimada usiseme, kati yake na Slaa who is Firauni.? don't mention this guy. sijui JK alimweka vp CCM in high position, ndio maana wanaanguka, mwisho 31 Oct, Pipoooozzzzzzz Powerrrrrrrr
 
Angeshtakiwa Josephine kwa kukimbia ndoa yake na kufanya uzinzi (kama alifanya anyway)! Anyway, sijawahi kuona kosa linaloitwa "kupora mke" kisheria, labda ni kosa jipya! Pia Dkt Slaa alikuwa hajamwoa Josephine, ni mchumba tu! Uchumba si ndoa, kwa hiyo hakuna mke "aliyeporwa," huyo Josephine kisheria bado ni mke wa mumewe Mahimbo kwa sababu ni Mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kuvunja ndoa, si vinginevyo!

Unayosema ni kweli kama kulikuwa na ndoa halali. Lakini sasa issue hii inajadiliwa bila kujua ni kitu gani kimefanyika: kulikuwa na ndoa halali au hapana?
 
Unenayo ni kweli. Jesphine ndiyo haswa alipasa kuwa mdaiwa wa mahimbo. lakini nadhani wewe na mimi na kila mtu mwingine mwenye uelewa (isipokuwa wale mashabiki wa JK) anajua fika kwamba kesi hii ni mradi wa akina Makamba/Kinana dhidi ya Slaa.

Unajua, unapukuwa na chuki na mtu, huwi muangalifu katika kumchagulia tusi. majai wanatkiwa waitupilie mbali hiyo kesi siku ya mwanzo tu -- lakini si unajua tena majaji wetu walivyo? Miezi kadha iliyopita yule jaji mkubwa wao kabisa alikana mamlaka yake (kama mhimili mmoja wa dola) na kutamka kwamba Bunge ndiyo wenye mamlaka zaidi. That is of course shit. In this country evrything is upside down -- it's really f**** up!!! Oh yes it is!!!!

bandugu, ili tujue ukweli na tutende haki ni vema tukasikia kutoka kwa mke wa zamani wa mahimbo, atueleze kitu kilichomtoa kwa mahimbo kikampeleka kwa slaa. Isije ikawa walishakubaliana kutengana: if so,mahimbo hawezi kumshitaki asilani.
 
Back
Top Bottom