Ericus Kimasha
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 470
Kumetokea mauaji ya Kiongozi wa Walinzi katika jengo la PPF House Samora. Mauaji haya yanakisiwa kutokea usiku wa kuamkia leo J3. Hakuna taarifa za kuaminika juu ya kusudio na wahusika wa mauaji haya. Polisi na vyombo vya usalama vinaendelea na uchunguzi wa tukio hili.
Mauaji haya yamesababisha wafanyakazi wa ofisi zote zinazopanga katika jengo hili kuchelewa kuingia maofisini mpaka muda mchache uliopita. Hii ni kutokana na kuofia kuaribu ushahidi hasa alama za damu katika lifti na viashiria vingine vilivyopatikana katika eneo la maegesho ya magari (Underground Parking Yard)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA
Nikiripoti kutoka ofisi za Jiji, ni Mimi
Mauaji haya yamesababisha wafanyakazi wa ofisi zote zinazopanga katika jengo hili kuchelewa kuingia maofisini mpaka muda mchache uliopita. Hii ni kutokana na kuofia kuaribu ushahidi hasa alama za damu katika lifti na viashiria vingine vilivyopatikana katika eneo la maegesho ya magari (Underground Parking Yard)
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA
Nikiripoti kutoka ofisi za Jiji, ni Mimi