Msinisumbue tena,
Hii ndo Orijini ya Vuvuzela na maana ya Kenakoo ni Tuko hapa, kwa hiyo kila wakichoka kupuliza wanayaweka hapo, na wanasema tuko hapa.
Nice weekend
Wamependeza???
WanaJF nimekuwa msikilizaji mzuri wa hii Radio Clouds FM but now naona inaanza kunitia kichefuchefu,Nashindwa kuelewa kama hii Radio imegeuga uwanja wa kisiasa mara wanawashutumu CCJ, mara TUCTA...
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza Mikoa mitatu, Wilaya, Tarafa na Halmashauri za Wilaya mpya ili kuimarisha utawala bora.
Kwa sasa, Tanzania bara ina mikoa 26 hivyo kwa tangazo hilo la kusudio la...
Vote kilimanjaro for the New7Wonders of Nature,follow the link below
Kilimanjaro | New7Wonders
Uzalendo Mbele japokuwa pesa zinazopatikana kwenye utali azitufiki sisi watu wa chini.
Kuna habari kuwa wafanyakazi karibu wote wa wizara ya ardhi makao makuu sasa hivi wapo nje ya jengo kwa kuhofia moto haijajulikana kama jengo linaungua au la.......
....duuuuuh, masikini hati zetu...
Cannibal Fed Lover's Body To His Cats
A cannibal who killed his lover before eating some of his organs and giving others to his cats has been jailed for 13 years.The killer, identified only as...
Jamani naomba kuuliza ukweli ni upi???
juzi kati nilikamatwa na trafiki nilipita njia ni no entry pale ukitaka kuingia subway ya peuget house badala ya kuzunguka mpk holidayinn kupitia...
Tumeona namna JF ilivyoboreshwa na kuwa na mambo mengi zaidi. Lakini mimi kuna kitu huwa bado naona kama kinapunguza sana ladha ya JF
Mosi: Mtu anaruhusiwa kupost thread nyingi atakavyo na...
jana tarehe 15/06/2010, sanamu la Yesu huko Ohio, Marekani lalipuliwa na radi! This time god takes his/her own symbol [the son] in a spectacular way, and in front of several onlookers (and...
Imethibitika pasipo shaka kuwa timu za Africa katika mashindano ya kombe la dunia 2010 ni kundi la timu dhaifu. Ukiachilia mbali Ghana iliyoshinda mechi moja kwa 'bahati' kwa njia ya penati hakuna...
Mwanamziki mkongwe wa mziki wa dansi nchini toka nchini Kongo Kinshasa, Fredy Mayaula Mayoni (RIP) amefariki dunia siku ya 27-05-2010 huko jijini Brussels, Ubeligiji, kwa ugonjwa kansa ya ubongo...
Raia yeyote anaposhindwa kutimiza wajibu wake kwa Serikali mfano kulipa kodi n.k. Serikali hutumia vyombo vyake vya dola kupata haki yake. :crazy:Nimekuwa nikijiuliza hivi raia wa kawaida...
Mtu kuangamiza familia yako sababu ya mapito ya dunia?
Nazungumzia suala la mtu mmoja kuchoma nyumba makusudi kwa nia ya kumwangamiza baba yake na mama yake wa kambo, Hii ishu ilitokea siku...
Juzi nilipita mtaa mmoja pale Sinza karibu na kituo cha daladala cha Mugabe, na kuona geti jeusi la nyumba moja lenye tangazo: "Private House, Nyumba Binafsi". Haraka nilipelekea kuwa wakazi wa...
Nimetembelea blogu nyingi kuona ipi ni bora na iliyotengenezwa kitaalamu kutoa fursa bora kwa watumiaji wake.Jamii forums nimegundua ndipo penyewe.
Jf ina uvumilivu wa mambo mengi lakini inaogopa...