GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
Tumeona namna JF ilivyoboreshwa na kuwa na mambo mengi zaidi. Lakini mimi kuna kitu huwa bado naona kama kinapunguza sana ladha ya JF
Mosi: Mtu anaruhusiwa kupost thread nyingi atakavyo na wakati mwingine unakuta zote zinazungumzia kitu kimoja...INACHOSHA
Pili: Kuna mijadala ambayo huwa ni mizuri sana ila huwa inaharibiwa na watu hasa pale wanapoanza kuichukulia ni personal badala ya kuiendeleza kama ambavyo muanzishaji alivyolenga: INAKATISHA TAMAA
Tatu: Ingawa ndio kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo, ila kenge wakizidi inakuwa ni msafara wa kenge wenye mamba....pumba zimekuwa nyingi kuliko mchele sa sijui hiki ni chakula cha kuku ama binadamu: INAUDHI
Nne: Bado upo ubaguzi sana kwenye nani anaruhusiwa kupost thread yake wapi...mfano jukwaa kuu ambalo ni jukwaa la siasa (uone namna watanzania wanavyopenda blaablaa) huwa linatumiwa zaidi na watu fulani hata kama walichokipost hakihusiani na siasa: HAIHUU
Tano: Ingawa slogan ya JF ni "where we dare to talk openly", ukitazama kwa makini utaona kuwa slogan hii ingepaswa kuwa (kama nilivyopata kusema huko nyuma) "where we dare to talk crazily": INATIA AIBU
Sita: .............ongezea na wewe uliyoyaona
All in all, moderators mnajitahidi sana, hasa kwenye ku-ban watu sikuizi.....na huenda kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi, mtani-ban na mimi kwa niliyoyasema
I am responsible for that!
Mosi: Mtu anaruhusiwa kupost thread nyingi atakavyo na wakati mwingine unakuta zote zinazungumzia kitu kimoja...INACHOSHA
Pili: Kuna mijadala ambayo huwa ni mizuri sana ila huwa inaharibiwa na watu hasa pale wanapoanza kuichukulia ni personal badala ya kuiendeleza kama ambavyo muanzishaji alivyolenga: INAKATISHA TAMAA
Tatu: Ingawa ndio kwenye msafara wa mamba hata kenge wamo, ila kenge wakizidi inakuwa ni msafara wa kenge wenye mamba....pumba zimekuwa nyingi kuliko mchele sa sijui hiki ni chakula cha kuku ama binadamu: INAUDHI
Nne: Bado upo ubaguzi sana kwenye nani anaruhusiwa kupost thread yake wapi...mfano jukwaa kuu ambalo ni jukwaa la siasa (uone namna watanzania wanavyopenda blaablaa) huwa linatumiwa zaidi na watu fulani hata kama walichokipost hakihusiani na siasa: HAIHUU
Tano: Ingawa slogan ya JF ni "where we dare to talk openly", ukitazama kwa makini utaona kuwa slogan hii ingepaswa kuwa (kama nilivyopata kusema huko nyuma) "where we dare to talk crazily": INATIA AIBU
Sita: .............ongezea na wewe uliyoyaona
All in all, moderators mnajitahidi sana, hasa kwenye ku-ban watu sikuizi.....na huenda kwa ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi, mtani-ban na mimi kwa niliyoyasema
I am responsible for that!