Arsenal
Senior Member
- Aug 12, 2008
- 190
- 71
Jamani naomba kuuliza ukweli ni upi???
juzi kati nilikamatwa na trafiki nilipita njia ni no entry pale ukitaka kuingia subway ya peuget house badala ya kuzunguka mpk holidayinn kupitia dailynews mi nikaamua kupenya pale na miaka yote nafanya hivyo, trafiki kanifata kutoka kituo cha mafuta cha pale BP mpk nilipopaki akanambia najua kosa langu nikamwambia hapana nikasema theres no entry sign there!! ooh we huoni ata palivojengwa?? huruhusiwi kupita pale na mimi kuokoa mda nikasema ok fine how much??? ooh twende kituoni!!apa sasa ndo kasheshe likazuka mana akataka kuingia ndani ya gari nikamwambia hell nooo!!sheria gani iyo inasema trafik akilikamata gari lazima apande???basi kwa hasira akapanda teksi tukaongozana mpk central na badala ya kunipa notification ya 20 thau akaniandikia charge sheet ya kwenda mahakamani kisa nimemkomoa eti!!!mi kufika pale hakimu na PP wanasema ni kosa ambalo halina sheria ya adhabu so wakanichaji 15k tu nikalifata gari langu central motooo!!!
SO MY QUESTION IS "TRAFIK ANARUHUSIWA KUPANDA GARI LA MTUHUMIWA?" why do they do that???
juzi kati nilikamatwa na trafiki nilipita njia ni no entry pale ukitaka kuingia subway ya peuget house badala ya kuzunguka mpk holidayinn kupitia dailynews mi nikaamua kupenya pale na miaka yote nafanya hivyo, trafiki kanifata kutoka kituo cha mafuta cha pale BP mpk nilipopaki akanambia najua kosa langu nikamwambia hapana nikasema theres no entry sign there!! ooh we huoni ata palivojengwa?? huruhusiwi kupita pale na mimi kuokoa mda nikasema ok fine how much??? ooh twende kituoni!!apa sasa ndo kasheshe likazuka mana akataka kuingia ndani ya gari nikamwambia hell nooo!!sheria gani iyo inasema trafik akilikamata gari lazima apande???basi kwa hasira akapanda teksi tukaongozana mpk central na badala ya kunipa notification ya 20 thau akaniandikia charge sheet ya kwenda mahakamani kisa nimemkomoa eti!!!mi kufika pale hakimu na PP wanasema ni kosa ambalo halina sheria ya adhabu so wakanichaji 15k tu nikalifata gari langu central motooo!!!
SO MY QUESTION IS "TRAFIK ANARUHUSIWA KUPANDA GARI LA MTUHUMIWA?" why do they do that???