Kumbe Mzee wa Monica Lewisk Yupo Dar

Kumbe Mzee wa Monica Lewisk Yupo Dar

doup

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2009
Posts
2,718
Reaction score
2,899
hivi kumbe Bill clinton yupo Tz; hili kombe la dunia bwana!!
 
Yupo Bongo ila siku hizi hata akija hakuna makeke kama kipindi kile alipokuwa raisi wa dunia.
 
keshaenda south africa tumemuona kwenye telly.england vs slovenia.
 
Yupo Bongo ila siku hizi hata akija hakuna makeke kama kipindi kile alipokuwa raisi wa dunia.
..Jamaa alipokwenda Arusha kipindi fulani mji mzima wa Arusha mitandao yote ya simu ikafunikwa mpaka alipoondoka ndoa watu tukarudi hewani...Hawana maana kabisa!:mmph::mmph:
 
Kichwa cha thread mkuu kinasikitisha!..This is digging too dip broda!...At least mpe heshima zake kwasasa, maana anafanya kazi za KIJAMII na kusaidia kufuta UMASIKINI wetu!..I SALUTE HIM FOR THAT!
 
Kichwa cha thread mkuu kinasikitisha!..This is digging too dip broda!...At least mpe heshima zake kwasasa, maana anafanya kazi za KIJAMII na kusaidia kufuta UMASIKINI wetu!..I SALUTE HIM FOR THAT!

Bwana wee....Si unaona hata jina lenyewe kakosea...anaandika Lewisk badala ya Lewinsky
 
Back
Top Bottom