Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF nimekuwa msikilizaji mzuri wa hii Radio Clouds FM but now naona inaanza kunitia kichefuchefu,Nashindwa kuelewa kama hii Radio imegeuga uwanja wa kisiasa mara wanawashutumu CCJ, mara TUCTA mara MR Mkoba wa walimu, mpaka sasa sijailewa hii clouds ina mlengo gani, WanaJF nisadie