Serikali kumwaga pikipiki 400 kwa wajawazito
na Salehe Mohamed, Dodoma
SERIKALI imesema itanunua pikipiki 400 mwaka 2010/2011 kwa ajili ya kubebea wagonjwa ili kutekeleza Mpango wa Afya ya Mama...
Mel Gibson uses racial slur - report
Buzz Up!
Oscar-winning director and actor Mel Gibson, who caused a media storm four years ago over an anti-Semitic...
Baada ya kuwasilisha maombi yao rasi Ewura, mamlaka hiyo nayo imetoa tangazo lifuatalo:
TANGAZO KWA UMMA
WITO WA KUKUSANYA MAONI YA WADAU KUHUSU OMBI LA TANESCO LA KUPANDISHA BEI YA HUDUMA YA...
Wahadhiri wa vyou vikuu wametoa taarifa maalumu kwa umma kuhusu madai yao. Angalia hicho kiambatanisho.
Tunawaomba wanafunzi wao wawasaidie kugoma kwa sababu wenyewe hawawezi wanaogopa.
Wakuu hii nimeipata kwenye comments za Caroline, ktk gazeti la Mwananchi la leo 1julai 10,topic husika ''Ajira sasa wazi EAC'' nanukuu:
"Watanzania wote shikeni kalamu muandike maneno...
Ukitaka kuumiza kichwa na nchi hii basi fuatilia siasa,
mimi nashindwa kuelewa kuchukua fomu ya kugombea uraisi ni sherehe na bendi zinakodishwa,na kurudisha pia ni sherehe,jamani ama ndio...
Wapendwa
polen na mihangaiko ya kila siku...kwa kweli nimeona tuabarishne kidogo\kuna haya mataa ya tazara kwa kweli yamegeuka balaa la wauwaj...mabwana hawa wanafanya wanavyotaka na wakikamatwa...
THERE are many Zanzibaris who are illiterare, it was revealed here on Saturday.
The Zanzibar Minister for Education and Vocational Training, Mr Haroun Ali Suleiman, said here on Saturday that...
Friday, June 25
Nicolas Cocaign, who was accused of torture or barbaric acts and murder preceded, accompanied or followed by another crime, will have to serve at least 20 years of...
Ndugu wapenzi wana JF, leo napenda tujadili suala la Mkapa na Kikwete katika awamu zao.
Binafsi huwa nakaa na kujiuliza hivi ni kitu gani ambacho Kikwete amekaa ikulu na kukifanya, nakosa jibu...
Kumekuwepo na malalamiko kuwa Nyuki (Honey bees) wamekuwa wanapungua kwa kasi. Wanasayansi, wamegundua kuwa mionzi ya simu ya mkononi ni moja ya sababu kubwa ya kuingilia mawasiliano ya nyuki hasa...
Mwaka jana tulipata usumbufu sana baada ya mabenki kuto funguliwa kutokana na hii siku yao ya kufanya mahesabu yao ya mwaka.
Tujihadhari, hamna taarifa rasmi zenye kutuelekeza tufanye nini.
Wenye...