Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,678
- 37,858
Wapendwa
polen na mihangaiko ya kila siku...kwa kweli nimeona tuabarishne kidogo\kuna haya mataa ya tazara kwa kweli yamegeuka balaa la wauwaj...mabwana hawa wanafanya wanavyotaka na wakikamatwa
wanaachiwa pale kituoni buguruni kwa hali isiojulikana\
Majuzi saa nne nanusu nilikuwa nimesimama kwenye mataa mbele kuna pikipiki,..nikamwona kijana kapita mbele yangu gafla akamvaa mwenye pikipiki akampiga na panga kwenye mgongo///atukuvumilia bahati tulikuwa 5 tukashuka...kweli kifo akina adabu uweizi amini kijana yule wa kizungu ambae alikuwa na pikipiki aliachia begi akarusha pikipiki huku akikimbia kama amepigwa bomu la afghanistan..ndipo tukamfwata kwa nyuma akaenda kusimama mbele kabisa..tukamsaidia akaenda hospital kutibiwa alikuwa ni mmoja wa marubani wa ndege....mkuu wa kituo huu uchafu ukwa nini inakuwa kimya na wanalindwa na nani hawa madogo???ukiwa kwenye gari jitahd funga vioo hawa wanaharamu wanakujaga na kila dizaini uwe kwenye gari,pikipiki
AFANDE KOVA TUNAOMBA UDLI NAO KITUO CHA BUGURUNI WAMESHINDWA KAZI
polen na mihangaiko ya kila siku...kwa kweli nimeona tuabarishne kidogo\kuna haya mataa ya tazara kwa kweli yamegeuka balaa la wauwaj...mabwana hawa wanafanya wanavyotaka na wakikamatwa
wanaachiwa pale kituoni buguruni kwa hali isiojulikana\
Majuzi saa nne nanusu nilikuwa nimesimama kwenye mataa mbele kuna pikipiki,..nikamwona kijana kapita mbele yangu gafla akamvaa mwenye pikipiki akampiga na panga kwenye mgongo///atukuvumilia bahati tulikuwa 5 tukashuka...kweli kifo akina adabu uweizi amini kijana yule wa kizungu ambae alikuwa na pikipiki aliachia begi akarusha pikipiki huku akikimbia kama amepigwa bomu la afghanistan..ndipo tukamfwata kwa nyuma akaenda kusimama mbele kabisa..tukamsaidia akaenda hospital kutibiwa alikuwa ni mmoja wa marubani wa ndege....mkuu wa kituo huu uchafu ukwa nini inakuwa kimya na wanalindwa na nani hawa madogo???ukiwa kwenye gari jitahd funga vioo hawa wanaharamu wanakujaga na kila dizaini uwe kwenye gari,pikipiki
AFANDE KOVA TUNAOMBA UDLI NAO KITUO CHA BUGURUNI WAMESHINDWA KAZI