Nina wiki tatu sasa sijapata HAJA KUBWA.
Kula nakula vizuri lakini vitu havitoki
Nikienda toilet kila nikilazimisha, KUBWA haitoki
Nimekula mapapai hadi natoka kitambi lakini sinyi.
Nifanyeje?
BURIANI DK REMMY ONGALLA
NILIKUWA NA PRESSHA ASBH YA LEO GAFLA NILIPOONA BURIANI NA PICHA YA MZEE WETU MAKASSY NIKASEMA MZEE NAE KAMFWTA MJOMBA REMMY AMA ..KABLA YA KUSOMA CHINI
AHASANTE KWA...
Wakuu I need some help in converting MKV files into AVI urgently. Have tried to google lakini naona kunakuja solutions nyingi nyingi of which sielewi which is which na pia I am concerned na safety...
Dakika kama tano zilizopita kuna tukio la kijambazi limetokea ambapo majambazi wamempiga risasi na kupora mtu pesa ambazo hazikujulikana. Ni hatari na eneo limezizima kwa muda sasa, huduma zote...
Mpendwa mama tibaijuka
salamu katika jina la BWANA WETU YESU KRISTO ALIE HAI...kwanza napenda kukupongeza kwa speed uliokuja nayo ingawa baadhi inaishiaga kuwa nguvu ya soda kwa uweza wa mwenyezi...
Kwa miaka nenda miaka rudi, serikali imekuwa inapuuzia kukusanya kwa ukamilifu mapato yake, ikiwa ni pamoja na kutotilia maanani ufuatiliaji wa marejesho ya madeni yake. Kwa mfano, wadadisi wa...
ILE tabia ama tunaweza kuiita kuwa ni hulka iliyozoeleka kila baada ya uchaguzi mkuu unapokaribia na wakati wa mchakato mzima wa kampeni haishangazi kuwaona wagombea wakijisahau na kutoa shikamoo...
Wana JF naomba mnisaidie. naogopa ninapomkuta mwanangu wa miaka mitano akiwa na wenzake wanaimba wimbo wa alamba, alamba tena, kisha wanaoneshana kidole mithili ya kulamba. Kimaadili sijui huu...
Habari kutoka Muleba mkoani Kagera zinasema kuwa basi la abiria la kampuni ya ALLYS lililokuwa likisafiri kutoka Bukoba kwenda Dar-es -salaam limeungua moto na kuteketea kabisa.
Inasemekana tatizo...
jamani draw ndio hiyo hapo kazi kwenu hahahaaaa arsenal jamani poleni
Roma v Shakhtar Donetsk
AC Milan v Tottenham Hotspur
Valencia v Schalke
Inter Milan v Bayern Munich
Lyon v Real Madrid...
Tarehe 9/12/2010 Musiba alikula chakula katika hoteli ya MERR'Y HOTEL iliyopo Opposite na Zanzibar Hotel karibu na ofisi za channel Ten.
Baada ya chakula alijisikia tumbo linaanza kuuma na...
Shinyanga, Singida na Tabora, je kuna nini mpaka theluthi mbili ya watoto wa shule za msingi wameshindwa kufaulu mtihani wa darasa la saba?
Je Wabunge kutoka mikoa hii, mnatuambia nini sisi...
Natumaini hamjambo wana JF naomba wahusika haswa Waziri wetu mpendwa wa Ujenzi Magufuli mtusaidie sisi watumiaji wa barabara ya Mbezi tank Bovu hadi Goba-Kimara.
Kuna bango la TANROADS limewekwa...
katika siku mbili zilizopita, kuna tatizo ambalo limenitokea mimi na wateja wengine wa matandao wa tigo, inatokea unampigia simu mtu anapokea mtu mwingine ambae siyo yule uliyempigia (sio wrong...
Adelline, dada aliyefukuzwa kazi baada ya kuugua kidole tumbo ameshinda kesi yake dhidi ya Mzungu aliyejifanya yuko juu ya sheria.
Adeline alinyimwa haki katika mahama ya wilaya, lakini...
Jamani kwa walioangalia taarifa ya habari leo asbh
itv kuna diwani mmoja ameonyeshwa live akitangaza
kujivua udiwani kwa kusema amejitahdi kwa muda mchache akiarajia
msaada toka serikalini...
Waziri apokewa na mgogoro mzito TRL
Na Rehema Mohamed.
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wamemtaka Waziri wa Miundombinu Bw. Omary Nundu kutoa ufafanuzi kuhusu Menejimenti ya...
Hatimaye ule wimbo wa Dr. Remmy Ongala uliopigwa marufuku miaka kadhaa iliyopita umerushwa hewani leo hii na Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast.................. Naomba mwenye lylics...