Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,081
Habari kutoka Muleba mkoani Kagera zinasema kuwa basi la abiria la kampuni ya ALLYS lililokuwa likisafiri kutoka Bukoba kwenda Dar-es -salaam limeungua moto na kuteketea kabisa.
Inasemekana tatizo lilianzia na shida ya jamming ya brakes na basi lilipofika kwenye kituo Cha Muleba tayari ulishaanza kuwa moto na walichofanya ni ku rescue mizigo ya abiria na abiria wenyewe.
Ni tingo wa basi hilo tu aliyejeruhiwa lakini abiria wamenusurika na mizigo yao.
Inasemekana tatizo lilianzia na shida ya jamming ya brakes na basi lilipofika kwenye kituo Cha Muleba tayari ulishaanza kuwa moto na walichofanya ni ku rescue mizigo ya abiria na abiria wenyewe.
Ni tingo wa basi hilo tu aliyejeruhiwa lakini abiria wamenusurika na mizigo yao.