Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

Askari kulipua siri ya uchaguzi Z’bar na Mwandishi Wetu, Zanzibar SAKATA la kukwama mafao ya askari wastaafu wa vikozi vya SMZ, limechukua sura mpya, baada ya baadhi yao kutishia kufichua...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Zimekatwa sana issue za UDSM na Mzumbe hapa lakini naona tumekasahau haka ka institute kalikopo mtaa wa Shaaban Robert. Nimeskia mengi sana kuhusu hiki chuo yakiwemo ya walimu kufanya biashara ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Na Frederick Katulanda,Mwanza SIKU moja baada ya kubainika mfungwa aliyehukumiwa kutumikia kifungo jela miaka mitano kuwa nje, jeshi la polisi limeeleza kuwa limemtia mbaroni kijana huyo na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
KWA WASIOJUA KIINGEREZA tafadhali ombeni mtu awatafsirie. Lugha ya 'If' and 'if' ni lugha ya kubahatisha, ni lugha tegemezi na sio lugha inayotoa uono wa mbali na mwelekeo wa nchi ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Minister, MPs differ on prison conditions 2008-09-22 10:36:12 By Angel Navuri The government has said it has no information that violations of human rights are rampant in the country`s...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ikulu ya Chamwino kuhamishwa Martha Mtangoo, Dodoma IKULU ndogo ya Chamwino mkoani hapa pamoja na Ofisi ya Rais, vinatarajiwa kuhamishwa kutokana na eneo lililojengwa Ikulu hiyo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Date::9/22/2008 Bomoa bomoa ya kikatili Magomeni Na Salim Said Mwananchi FAMILIA sita zimekosa sehemu ya kuishi baada ya watu wanaodai kununua nyumba ya urithi ya watoto zaidi ya 10 wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
I am extremely sorry that attachments for the thread 'Weather manipulation' could not be managed.Any inconveniences caused are highly regretted.For your own reading however, please go to...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Have you ever thought even remotely, that the weather can be manipulated.If you have never imagined that electromagnetic waves can be used to bring havoc in terms of hurricanes etc. to the...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ROW ERUPTS AFTER CONTROVERSIAL BUSINESSMAN IS TOUTED AS ONE OF NATION'S LEADING ROLE MODELS THISDAY REPORTER Dar es Salaam A ROW has exploded over the decision of organizers of an...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mambo ya kujadili haya hapa! Kujadili watu imetosha sasa tujadili hoja! Na Boniface Meena, Bagamoyo: SERIKALI imeanza mchakato wa kuunda tume mpya ya mipango ili kiwe chombo kikuu cha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
VILIO na majonzi vimetawala leo asubuhi eneo la Kurasini baada ya tingatinga kutinga na kuanza kubomoa nyumba huku baadhi ya nyumba zikiwa na mali ndani ambapo vibaka wakivamia grosari na kunywa...
0 Reactions
61 Replies
10K Views
Mods, Tangu kama sikosei Alhamisi nimekuwa siwezi kuingia JF kwa kutumia Laptop na Desktop yangu. Sijui tatizo liko wapi. Leo hii nimejaribu computer ya Mywife Wangu naona inaingia bila tatizo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa kweli sasa Siasa zinapamba moto... Wakati 2010 haiko mbali, wana itikadi wadai- Wanawake, Vijana na Wazazi wa CCM ni Wachafu mno...:eek: Wanalumbana kusivyo. Hivyo, marufuku kumchafua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huraa,BoT,mmeonyesha njia.Nitakalo kusema hata hivyo ni kwamba, tatizo hili haliko BoT tu,limezagaa nchi nzima.Na ni kubwa kiasi cha kutisha.Sasa serikali kwa makusudi kubisa itoe vihiyo wote...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Rais Kikwete alipo kuwa ziarani kule Tabora, alitoa Sh.5,000,000 kwa msichana maskini, ambaye si katai, kweli alihitaji msaada kufuatana na hali yake ilivyo.Ni sicho elewa mimi, ni kwa nini kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Katika siku hizi za karibuni kabisa kumekuwa na sakata la maziwa kutoka China.Sijashanga sana, kwa vile Wachina ni jamii ya watu ambao kwao si ajabu kukuuzia karatasi huku wakisema ni noti.Ndio...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna mwanachama mmoja wa jamii forum yuko muhimbili amelazwa kwa jina ni athumani hamisi , nashangaa kwanini hatumpi pole tunajifanya hatujui kinachoendelea au kwasababu yeye ndio aliyehusika...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
na Ramadhani Siwayombe, Arusha JESHI la Polisi mkoani Arusha linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua kwa kumpiga risasi, Rafael Lesika (35), baada ya kukojoa katika kituo cha kuuzia...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Rufaa vigogo wa EPA BoT katika hatua za mwISHO USIKILIZAJI rufaa za maafisa wa nne wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ambao walipinga adhabu za kuhusishwa kwa tuhuma za ufisadi katika Akaunti ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom