Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
Sister P akikamua
Zay B jukwaani
Daz baba akifanya kweli
DJ Sox akifanya mambo yake
Mkoloi akiwa kazini
Mr Simple, Diwani wa Ticket ya CHADEMA
Mashabiki wakipagawishwa
Sugu akifanya mambo
Wasanii wa kizazi kipya waliowahi kutamba zamani waliounda kundi la Vinega wakiongozwa na Mkurugenzi wa Deiwaka Entertainment, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu (pichani juu) usiku wa kuamkia leo wamefanya onesho lililohudhuriwa na maelfu ya watu katika Viwanja vya Chuo cha Ustawi wa Jamii jijini Dar es Salaam. Hapo juu ni baadhi ya matukio yaliyojiri kiwanjani hapo:.
Machizi mko fiti????? Mheshimiwa Mbowe (Mwenyekti wa CHADEMA) akiwasalimia mashabiki waliohudhuria tamasha viwanjani hapo
Mashabiki wakiitia salamu ya Mbowe, Tuko bomba ile mbayaaaa