CHADEMA kwa hili hamkuichagulia dola tusi!

Omutwale

JF-Expert Member
Feb 4, 2008
1,429
1,045
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi hata mazoezi hayajaanza achilia mbali kupasha dakika chache kabla ya mechi.

Gonga hapa ili twende sawa: VINEGA WAFANYA KUFURU DAR - Global Publishers

Wanaharakati, CDM na wapinzani kwa ujumla wamedhibitiwa kwenye maandamano na mikusanyiko mikubwa. Kila mara sababu inayotolewa ni “sababu za kiintelijensia” na hofu ya shambulio la Al shahabab. La ajabu, hii intelijensia na Al shahabab havina shida kabisa na mikusanyiko ya Kuabudu, maandamano ya hisani (i.e Bishop Gamanywa’s Fund Raising) na matamasha ya burudani tena ya usiku yenye kukusanya watu wengi sana zaidi ya mikutano ya kisiasa.

Kufana kwa hili tamasha la VINEGA ni ushindi wa mambo mengi na tusi kubwa lakini lisilo la wazi kwa dola. Upande mmoja, CDM kwa mara nyingine tena wameweza kujiweka karibu na vijana na wamejipambanua kama watetezi wa kazi za wazalendo. Wamedhihirisha kuwa si mchana tu bali hata usiku siasa za majukwaani zinaweza kufanyika bila kuvunja amani.


Heko wapiganaji wa CHADEMA, Hongera Wazalendo wa nchi hii-Tanzania.

Picha zote kwa hisani ya tovuti ya Glabal Publisher
 
Kaka nimeipenda sana hii, inaitwa chenga ya mwili kwa lugha nyingine.
 
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi hata mazoezi hayajaanza achilia mbali kupasha dakika chache kabla ya mechi.

Gonga hapa ili twende sawa: VINEGA WAFANYA KUFURU DAR - Global Publishers

Wanaharakati, CDM na wapinzani kwa ujumla wamedhibitiwa kwenye maandamano na mikusanyiko mikubwa. Kila mara sababu inayotolewa ni "sababu za kiintelijensia" na hofu ya shambulio la Al shahabab. La ajabu, hii intelijensia na Al shahabab havina shida kabisa na mikusanyiko ya Kuabudu, maandamano ya hisani (i.e Bishop Gamanywa's Fund Raising) na matamasha ya burudani tena ya usiku yenye kukusanya watu wengi sana zaidi ya mikutano ya kisiasa.

Kufana kwa hili tamasha la VINEGA ni ushindi wa mambo mengi na tusi kubwa lakini lisilo la wazi kwa dola. Upande mmoja, CDM kwa mara nyingine tena wameweza kujiweka karibu na vijana na wamejipambanua kama watetezi wa kazi za wazalendo. Wamedhihirisha kuwa si mchana tu bali hata usiku siasa za majukwaani zinaweza kufanyika bila kuvunja amani.


Heko wapiganaji wa CHADEMA, Hongera Wazalendo wa nchi hii-Tanzania.

Picha zote kwa hisani ya tovuti ya Glabal Publisher

duuuuuuuuuuu! aisee umeongea pwenti tupu. sijui kwa nini sikuweza kuwaza kama wewe. Yaani hapa na mimi ndo nimefunguka akili, mweeeeeeee!
 
Dawa pekee inayoweza kuwadhibiti CHADEMA ni kupiga marufuku viongozi na wanachama wao kufikiri. Maana kila mara dola inapojiona imeweza kiukweli ndo inakuwa ndo bado kabisa. Kama ni mechi basi hata mazoezi hayajaanza achilia mbali kupasha dakika chache kabla ya mechi.

Gonga hapa ili twende sawa: VINEGA WAFANYA KUFURU DAR - Global Publishers

Wanaharakati, CDM na wapinzani kwa ujumla wamedhibitiwa kwenye maandamano na mikusanyiko mikubwa. Kila mara sababu inayotolewa ni "sababu za kiintelijensia" na hofu ya shambulio la Al shahabab. La ajabu, hii intelijensia na Al shahabab havina shida kabisa na mikusanyiko ya Kuabudu, maandamano ya hisani (i.e Bishop Gamanywa's Fund Raising) na matamasha ya burudani tena ya usiku yenye kukusanya watu wengi sana zaidi ya mikutano ya kisiasa.

Kufana kwa hili tamasha la VINEGA ni ushindi wa mambo mengi na tusi kubwa lakini lisilo la wazi kwa dola. Upande mmoja, CDM kwa mara nyingine tena wameweza kujiweka karibu na vijana na wamejipambanua kama watetezi wa kazi za wazalendo. Wamedhihirisha kuwa si mchana tu bali hata usiku siasa za majukwaani zinaweza kufanyika bila kuvunja amani.


Heko wapiganaji wa CHADEMA, Hongera Wazalendo wa nchi hii-Tanzania.

Picha zote kwa hisani ya tovuti ya Glabal Publisher
Nasubiri kwanza kiomenti za Faiza Foxy na wenzie ndipo nitaendelea.............................
 
Back
Top Bottom