Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Wakuu kuna miziki natafuta video au auio zake lakini tatizo sikumbuki majina ya bendi.
- Kuna kundi moja na west africa lilipiga muziki huku waadada wakikata mauno kwenye maji. Anyekumbuko ule muziki uliitwaje au lile kundi lilitwaje anifahamishe tafadhali.