New Antivirus Dowload for free

New Antivirus Dowload for free

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,431
Reaction score
108,611
Wakuu sasa nimeamini rasmi kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hii ni kufuatia Tamasha kubwa la Anti Virus with no apology na kufana kupita maelezo, leo kwa mara ya kwanza asubuhi hii nimesikia nyimbo za wasanii ambao walitupwa kapuni mfano hai Dudu baya nae nimesikia nyimbo zake zinapigwa leo.

Haya ni mafanikio makubwa sana kwa Vinega, maana siku moja tangu wascan virus majibu ya ubora wa Anti virus nimeyaona leo, na yule kibaraka wa humu JF Nyani Ngabu anahaha kila jukwaa kuitetea redio ya wafu lakini maji yamezidi unga.

390781_164392423660126_100002681085480_249044_1738653985_n.jpg
 
Wakuu sasa nimeamini rasmi kweli kwenye vita ya haki ushindi ni lazima, hii ni kufuatia Tamasha kubwa la Anti Virus with no apology na kufana kupita maelezo, leo kwa mara ya kwanza asubuhi hii nimesikia nyimbo za wasanii ambao walitupwa kapuni mfano hai Dudu baya nae nimesikia nyimbo zake zinapigwa leo.

Haya ni mafanikio makubwa sana kwa Vinega, maana siku moja tangu wascan virus majibu ya ubora wa Anti virus nimeyaona leo, na yule kibaraka wa humu JF Nyani Ngabu anahaha kila jukwaa kuitetea redio ya wafu lakini maji yamezidi unga.

390781_164392423660126_100002681085480_249044_1738653985_n.jpg
Duh!! kweli hivi kwani NN ndiye PJ nyani mzee??swali nauliza
 
Duh!! kweli hivi kwani NN ndiye PJ nyani mzee??swali nauliza
Nyani Ngabu ni mbeba mabox fulani tu kule kwa Obama. yeye haoni uharamia wa clouds hata siku moja, na picha hii ndio inayowaumiza moyo.

382103_310406292317296_100000437832656_1205636_2020384128_n.jpg
 
dah anti virus sio mchezo,ili ni fundisho kwetu wote ...hatutakiwi kumdharau mtu,ule umati si mchezo,suggu yuko juu.
Nilikuwa nasikiliza kipindi cha power breakfast Gerlad Hando anaongea hadi povu linamtoka, hawaamini kilichotea Jumamosi, ile sio nguvu ya Sugu bali ni uwepo wa mungu tu aliamuwa kuonesha kwamba yeye ndio mtoa riziki.
 
When they said Sugu Moto Chini hawakukosea!! Keep it up man.Mapinduzi ndio yameeanza. Shoo ya kufa mtu ,hakuna cha Dmx wala nini ,watu walaliwa hela za kwa kuambiwa Dmx atakuwepo,Ha ha haa haa!! imekula kwako.Poleani sana kwa msiopenda mapinduzi!!
 
Duh, hiyo title yako hapo juu. Maana tunavyopenda bure!
 
Duh, hiyo title yako hapo juu. Maana tunavyopenda bure!
Nimejifunza kutoka Clouds fm, maana walisema anakuja DMX ili kuwaingiza mkenge raia ambao wanahitaji kuongezewa chachandu.
 
fitna mbaya sana, inapozidi inaweza kukurudi we mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom