Zilizopendwa za Dini

Zilizopendwa za Dini

Duduwasha

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
5,703
Reaction score
3,663
Hili goma lilikuwa ni kali lilipendwa sana kanda ya ziwa na kwingineko nilisikia kuna tajili mmoja wa Kenya aliwatafuta waimbaji wote waliopo hai na kuimba nyimbo zote upya na kuziweka on video hapo ukiwatizama wanaonekana ni wazee wazee
 
Last edited by a moderator:

Huu nadhani ulikuwa the best all the time till now tatizo haupo kwenye good record au Radio Tanzania wanaweza kuwa na good record

coz huu wimbo ulikuwa unaombwa upigwe redion wa watuma salamu pia wagonjwa kwenye mahospital katika kipindi cha pole mgonjwa Kwaya ya Arusha Mjini

Ulipenda hata na wale wa Dini ya Kiislam waliuomba kweli una mafundisho mazuri si Utani
 
Last edited by a moderator:
lulu iko Mbinguni hii nayo ilipendwa sana
 
Last edited by a moderator:


Munisi nae hakubaki nyuma na vinyombo vyake rap cartoon


Ile ya Ndege kulia usiku nayo ilikuwa kali
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom