Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,663
Hili goma lilikuwa ni kali lilipendwa sana kanda ya ziwa na kwingineko nilisikia kuna tajili mmoja wa Kenya aliwatafuta waimbaji wote waliopo hai na kuimba nyimbo zote upya na kuziweka on video hapo ukiwatizama wanaonekana ni wazee wazee
Last edited by a moderator: