YEYE
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 437
- 72
Kama msanii unafanya kazi nzuri,basi itapendwa na itanunuliwa...hata kama clouds wasipoicheza nyimbo yako kama ni nzuri si itachezwa
tu kwingine?! Kama msanii ni
mahiri,mweledi wa taaluma/sanaa yake basi atajua jinsi ya kumanage sanaa yake kibiashara
bila kusumbuliwa au kukwazwa na
mtu au kitu chochote iwe clouds
n.k. Naangalia wasanii wote
waliounda kundi zima la Anti- virus...nikitathmini undani
kupanda na kushuka (rise & fall)
kwao kitaaluma/sanaa sio kwamba
wa Clouds iliwapokonya kipaji/
weledi wao au iliwanyang'anya
mafao yao ila ni wao wenyewe walichezea kima chao cha mwanzo
na kushindwa kuendelea pia wengi
walipoteza dira ya sanaa bora na
management ya sanaa hiyo
kibiashara. Ieleweke Clouds ni
radio ya biashara ila kwa mapenzi ya wamiliki wake katika
sanaa na burudani, ndio media ya
kwanza kuwapa platform wasanii
wengi nchini na bado inaendelea
kufanya hivyo, ila haitakubali
kubeba wasanii ambao hawako sokoni tena- kwa maana ya
'fallen heroes' kutokana na
kupumzika sanaa, kubadili
taaluma, kushindwa kuendeleza
kipaji/weledi wao katika sanaa
zao n.k. Ukweli wanaujua, ila wanaamua kupumbaza jamii kwa
kupandikiza chuki dhidi ya
chombo kimoja- chuki ambazo ni
binafsi zaidi kuliko kiweledi.
Ila huwa tunajua muda(time) ni
tiba ya kila gonjwa... hili pia litatibika na tutajua chanzo cha
ugonjwa ni nini. Kwa sababu
mwisho wa siku swala ni
biashara, iwe kwa msanii,
promoter, manager au chombo cha
habari...
Source: DJ Fetty blog
MY TAKE:~
DHUMUNI la ANTIVIRUS sio kutaka kutafuta PROMO/AIRTIME kwenye RADIO na TV, ila ni kutetea HAKI za WASANII wanaonyonywa na kukosa SAUTI ya KUSEMEA labda kwa UOGA au sababu wanazozijua wao..
tu kwingine?! Kama msanii ni
mahiri,mweledi wa taaluma/sanaa yake basi atajua jinsi ya kumanage sanaa yake kibiashara
bila kusumbuliwa au kukwazwa na
mtu au kitu chochote iwe clouds
n.k. Naangalia wasanii wote
waliounda kundi zima la Anti- virus...nikitathmini undani
kupanda na kushuka (rise & fall)
kwao kitaaluma/sanaa sio kwamba
wa Clouds iliwapokonya kipaji/
weledi wao au iliwanyang'anya
mafao yao ila ni wao wenyewe walichezea kima chao cha mwanzo
na kushindwa kuendelea pia wengi
walipoteza dira ya sanaa bora na
management ya sanaa hiyo
kibiashara. Ieleweke Clouds ni
radio ya biashara ila kwa mapenzi ya wamiliki wake katika
sanaa na burudani, ndio media ya
kwanza kuwapa platform wasanii
wengi nchini na bado inaendelea
kufanya hivyo, ila haitakubali
kubeba wasanii ambao hawako sokoni tena- kwa maana ya
'fallen heroes' kutokana na
kupumzika sanaa, kubadili
taaluma, kushindwa kuendeleza
kipaji/weledi wao katika sanaa
zao n.k. Ukweli wanaujua, ila wanaamua kupumbaza jamii kwa
kupandikiza chuki dhidi ya
chombo kimoja- chuki ambazo ni
binafsi zaidi kuliko kiweledi.
Ila huwa tunajua muda(time) ni
tiba ya kila gonjwa... hili pia litatibika na tutajua chanzo cha
ugonjwa ni nini. Kwa sababu
mwisho wa siku swala ni
biashara, iwe kwa msanii,
promoter, manager au chombo cha
habari...
Source: DJ Fetty blog
MY TAKE:~
DHUMUNI la ANTIVIRUS sio kutaka kutafuta PROMO/AIRTIME kwenye RADIO na TV, ila ni kutetea HAKI za WASANII wanaonyonywa na kukosa SAUTI ya KUSEMEA labda kwa UOGA au sababu wanazozijua wao..