Wakuu habari za mida hii natumai mko poa.Mimi huwa si mpenzi wa kuangalia filamu hasa za kibongo. Ila filamu hii aliyoicheza marehemu Stephen Kanumba enzi za uhai wake nimeipenda sana tena sana na...
Bondia Francis Cheka (katikati) akitamba mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuwa atamchakaza mpinzani wake Japhet Kaseba. Wolper (kulia) akijitapa kuwa atamtwanga mpinzani wake mbele ya...
Maisha plus lilikuwa ni shindano zuri na lilitokea kuteka mioyo wa Watanzania wengi(mimi pia nikiwa miongoni mwao).Sasa nashangaa shindano hili limekufa ghafla tena kile kifo wanaita Natural...
Wengi wanapenda kucheza au kuona wengine wakicheza KIDUKU! Lakini wengi wao hawafahamu asili na chimbuko la kiduku hapa Tanzania!
Kwa kifupi ni kwamba ASILI YA KIDUKU NI NIGERIA! kiduku ni aina...
What a good sound and message as well, Nobody's 100% perfect! Huyu mdada ni mkali
Lyrics
When I'm nervous I have this thing yeah I talk too much
Sometimes I just can't shut the hell up
It's...
Rais wa zamani wa Gabon marehemu Omari Bongo Ondimba alimuoa binti wa rais wa congo brazzaville mzee Dennis Sassou nguesso akiitwa Edith Lucie Bongo ambae kabla ya hapo aliitwa Edita Sassou...
Wakati mashindano ya Tusker Project Fame yakiendelea jijini Nairobi, Kenya, mshindi wa msimu wa tatu wa mashindano hayo Alpha Rwirangira kutoka nchini Rwanda, jana ameandika barua ndefu...
Hebu wadau chungulieni kwenye link hii ili muone kama kweli hapo kunawadada wenye sifa za kuingia shindano la wenye wowowo, binafsi nimeangalia na kuona wote cha mtoto. Unaruhusiwa kumpigia kura...
Wana Jf naomba mnisaidie namna ya kudownload movie kwani nakosa uhondo kwa kusubiri ziletwe kwenye maduka yetu na wengine hushindwa kabisa kuleta ukizingatia wengine tuko mkiani mwa tanzania...
Kwa wale wapenzi wa Animation movies,hii kitu ni superb!! inaanza kuonyeshwa rasmi katika theatres hapa town leo,kama haukuwahi kufikiria kupenda aina hii ya movie,nenda kaicheki na hautaujutia...
Imekuwa na kawaida ya mastaa wa bongo hasa wa Kitengo chakucheza sinema na wanaopiga muziki (Bongo Flava) kutambiana wao kwa wao kwa pesa. Na kweli tunaona hata matumizi yao au magari, nyumba...
Jaman ninakipaj cha kuimba toka utoto pia nimesomea kaz hiyo,sasa nimetoa single ya gospel mahadhi ya sebene lakin radion wanataka pesa ndipo wanitoe,sina mdhamin wala manager but naamin naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.