Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

good work Kigoma All Stars
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu habari za mida hii natumai mko poa.Mimi huwa si mpenzi wa kuangalia filamu hasa za kibongo. Ila filamu hii aliyoicheza marehemu Stephen Kanumba enzi za uhai wake nimeipenda sana tena sana na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Bondia Francis Cheka (katikati) akitamba mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuwa atamchakaza mpinzani wake Japhet Kaseba. Wolper (kulia) akijitapa kuwa atamtwanga mpinzani wake mbele ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Maisha plus lilikuwa ni shindano zuri na lilitokea kuteka mioyo wa Watanzania wengi(mimi pia nikiwa miongoni mwao).Sasa nashangaa shindano hili limekufa ghafla tena kile kifo wanaita Natural...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kumbe bi kidude ni mzanzibar??watch live now
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wengi wanapenda kucheza au kuona wengine wakicheza KIDUKU! Lakini wengi wao hawafahamu asili na chimbuko la kiduku hapa Tanzania! Kwa kifupi ni kwamba ASILI YA KIDUKU NI NIGERIA! kiduku ni aina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
What a good sound and message as well, Nobody's 100% perfect! Huyu mdada ni mkali Lyrics When I'm nervous I have this thing yeah I talk too much Sometimes I just can't shut the hell up It's...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ningependa tutumie page hii,ili ituwezeshe kujua na kufahamu mahali ambapo tutapata nyimbo mpya za kibongo 4free. Nawasilisha.
0 Reactions
9 Replies
781 Views
Rais wa zamani wa Gabon marehemu Omari Bongo Ondimba alimuoa binti wa rais wa congo brazzaville mzee Dennis Sassou nguesso akiitwa Edith Lucie Bongo ambae kabla ya hapo aliitwa Edita Sassou...
1 Reactions
8 Replies
11K Views
Kwa wale wanaopenda movies mnaweza kushusha hii movie V for Vendetta kutoka katika hii link. Nitaiweka hapa kwa muda mfupi, hivyo wahi...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
hii ni kali sanaStella Mwangi - Bad As I Wanna Be | Muziki.net
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakati mashindano ya Tusker Project Fame yakiendelea jijini Nairobi, Kenya, mshindi wa msimu wa tatu wa mashindano hayo Alpha Rwirangira kutoka nchini Rwanda, jana ameandika barua ndefu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
hii ngoma biti yake godzilla kaitumia kwenye nyimbo yake akiwa na joti sio hii aliotumia instrumental ya snoop doggy-i wanna rock
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hebu wadau chungulieni kwenye link hii ili muone kama kweli hapo kunawadada wenye sifa za kuingia shindano la wenye wowowo, binafsi nimeangalia na kuona wote cha mtoto. Unaruhusiwa kumpigia kura...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kuna wimbo mmoja by dr.jose chameleone wenye maneno "wanashukuru ukishaenda",mwenye kujua jina halisi la huu wimbo naomba msaada tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana Jf naomba mnisaidie namna ya kudownload movie kwani nakosa uhondo kwa kusubiri ziletwe kwenye maduka yetu na wengine hushindwa kabisa kuleta ukizingatia wengine tuko mkiani mwa tanzania...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa Animation movies,hii kitu ni superb!! inaanza kuonyeshwa rasmi katika theatres hapa town leo,kama haukuwahi kufikiria kupenda aina hii ya movie,nenda kaicheki na hautaujutia...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Imekuwa na kawaida ya mastaa wa bongo hasa wa Kitengo chakucheza sinema na wanaopiga muziki (Bongo Flava) kutambiana wao kwa wao kwa pesa. Na kweli tunaona hata matumizi yao au magari, nyumba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman ninakipaj cha kuimba toka utoto pia nimesomea kaz hiyo,sasa nimetoa single ya gospel mahadhi ya sebene lakin radion wanataka pesa ndipo wanitoe,sina mdhamin wala manager but naamin naweza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwenye wimbo wa 20% uitwao NIA YAO! Nawaombeni mwenye kuweza kuni postia hapa jamvini iwe kwa mp3 au video.Thanks.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom