Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,270
- 675
Ijumaa hii ni fiesta mbeya
Sio kawaida kwa mbeya fiesta kuja kirahisi hivi sugu alikuwa msatali wa mbele kutetea wasanii
wachanga na wale wanaochipukia lakini cha kushangaza sasa hivi baada ya sugu kusign ule mkataba
na Ruge amekuwa kimya sana( wewe jiulize kwanini sugu jimbo lake anatengenezewa barabara?)
Kwanini sugu amekuwa kimya na wasanii ambao wamesupportiana kawatosa?
Kwenye mzunguko wa Fiesta kuna wasanii wa VINEGA?
Tafakari..................................................:eek2::director::director::director:
Fiesta 2011 Sugu alikuwu na msimamo huu
Sio kawaida kwa mbeya fiesta kuja kirahisi hivi sugu alikuwa msatali wa mbele kutetea wasanii
wachanga na wale wanaochipukia lakini cha kushangaza sasa hivi baada ya sugu kusign ule mkataba
na Ruge amekuwa kimya sana( wewe jiulize kwanini sugu jimbo lake anatengenezewa barabara?)
Kwanini sugu amekuwa kimya na wasanii ambao wamesupportiana kawatosa?
Kwenye mzunguko wa Fiesta kuna wasanii wa VINEGA?
Tafakari..................................................:eek2::director::director::director:
Fiesta 2011 Sugu alikuwu na msimamo huu
Mbunge wa Mbeya Mr. II amepiga marufuku matamasha yote ya FIESTA mkoani mbeya kwa madai kuwa yanaua vipaji vya wasanii. Source status yake ya FB.