hawa jamaa,baada ya kutoa ile album yao ya eta-major,wakafatia na ile ya amest sharai,ambazo zilifanya vizuri sana,ndio mizozo ya maslai ikalikumba kundi hilo na watu kama kila mbongo,na wengine wakajitoa ktk kundi lililokuwa linaongozwa na logaloga,ndio umaarufu wao ukaishia hapo,ni kama kundi la wenge musica tu,lilivyosambalatika!ila hawa jamaa ile album yao ya et major ilikuwa kiboko.