Wadau,
Kituo cha Televisheni cha DTV kimeamua kuja upya kama kituo cha kisasa.
Katika kuja upya huko kimeamua kupita mitaa mbalimbali ya jijini Dar es Salaam na kupigiga style kama ya...
Mambo vipi wapendwa,
Natumaini sisi sote ni wazima ninaombi kwa mwenye nyimbo hizi za Tanzania ambazo ni Tazama Ramani utaona nchi nzuri. Na Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
Naomba kwa...
kuna mtanzania anaefanya mziki wake mbele,amewahi imba wimbo hu''WHY DON'T U CHAA...NGE YOUR LOVE ON MEE..WHY DONT U CHA...NGE YOUR LOVE ON MEEE...ulikua unarushwa sana na kituo cha ITV Miaka ya...
Napenda sana kwenda kukaa pale breakpoint ya mjini siku za ijumaa kusikikilza muziki wa asili. Lakini sifaidi nakereka sana na sauti yao ya juu wanayofungulia, ni kero tupu kwani licha ya kuharibu...
Imethibitika kuwa mmoja kati ya hao anaweza kudondoka kwenye kilele cha Fiesta mwisho wa mwezi huu DSM. Narudia tena, mmoja kati ya Rick Ross na Nick Minaj atadondoka kupiga show ya mwisho ya...
Hongera EBSS- 2012
Tunawapongeza kwa maandalizi mazuri na walimu wazuri kama Banana tunamwaminia.
Kazi iko kwa majaji: Ule mchezo wa kubeba baadhi ya watu bila sababu tafadhali sana...
An upbeat African reality TV show grabs a rare but well induced backups from an International Development Organisation - Oxfam, and Tanzanian leading banking firm NMB!Whatch out and see our...
Kichwa cha habari kina utata kwani sikuweka alama ya kuuliza hivyo kisomeke. '' Bill Cosy afariki dunia?'' Every once in a while pranksters decide to declare someone – usually a popular...
Wapenzi wa filamu za marehemu Steven Kanumba watakuwa na uhakika wa kumuona tena staa huyo aliyefariki April mwaka huu kwenye filamu mpya.
Filamu hiyo inaitwa Ndoa Yangu ambapo Kanumba aliigiza...
Wana Iringa, wapi nawezakukaa na kusukuma w'end yangu hapa Iringa tawn? Nimefika nikauliza wenyeji wakaniambia niende New Life bar. Nipo hapa ila cjapapenda. Wapi pamechangamka na pazuri?
Tujulicheni tunaotumia vingamuzi vya TING(agape tv) ni wiki ya tatu sasa hatuoni channel za ITV NA STAR TV .kuna tatizo gani,na huu sio ungwana tujulisheni mbona ada yenu tunalipa pia channel...
Baada ya kuchoka kuangalia ma-Cadillac, na AK-47 na Movie ambazo hazina uhalisia na Bongo, na kuwakumbuka watunzi mashuhuri kama Agoro Anduru (Temptations, Bed of Roses na This is Living..) na...
Tazama hii picha ya msanii Diamond katika ukurasa wa nyuma wa gazeti la leo la ''nipashe'',he is very muscular. Ilivyoandikwa'' picha imetolewa kwa ajili ya kutangaza wimbo wake mpya''.is there a...
jamani hebu nisaidieni hivi vile vibano kwenye miereka ni kweli au maigizo? Maana nasikiasikia kwamba wale wachezaji wanazuga tu! Anayefahamu anisaidie..
NEY WA MITEGO.. aliposema wanauza kwa LAKI 6 walimshambulia sana...mi nahic hata bure wanatoa...
hebu mcheki Mgombea Ujumbe NEC CCM na huyu mmoja wa Prost..... MMOJA wa Bongo muvi..
WANANGOJEA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.