Kumbe Muke ya Mudhungu.....

Kumbe Muke ya Mudhungu.....

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,635
Reaction score
6,231
Kumbe Muke ya Mudhungu ilikuwa imesomeshwa na Hassan Bichuka?

Mamaa alipopelekwa Ulaya akachukua Bwana mwingine na kujitangaza kuwa sasa yeye ni MUKE YA MUDHUNGU.

Pole sana Hassan Bichuka..............

 
Last edited by a moderator:
Baba ake alimpa husia kuwa haendani na mijitu meusi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Mkuu, huo wimbo Bichuka analalamika kuwa alimpeleka mchumba wake Ulaya kusoma na siku moja akapata barua na ndani kuna picha Bibie kaamua kuwa MUKE YA MUDHUNGU.

Sasa jamaa kabaki kulia tu na kubaki kulia lia kuwa Mudhungu kamchukulia kimwana.

Nafikiri kutoka hapo wengine wakaona na wao wafuate nyayo....
muke ya mudhungu ndo nan? Funguka bana
 
Back
Top Bottom