Jamani kuna mwana JF yeyote huwa anaangaria love in the wild kupitia e tv, kiukweli kwa couple za tanzania na mapenzi yetu hata kama mmekaa zaidi ya miaka 2 sijui kama mkitenganishwa na kuulizwa maswali tofauti juu ya mpenzio kawa utaweza kujibu sawa kama yeye atakavyo jibu, kwa mfano busu lenu kwa mara ya kwanza lili kuwa wapi? Mpenzi wako anapenda zaidi sehemu ipi ya mwili wako.