First time I heard house rhythms in 2010 when I was in Botswana,very popular kinda of music down there, it was a bit annoying at first...As days went on I fell in love with this kind of tone...
Kwa wadau wa movie
Filamu mpya ya Anton Fuqua THE OLYMPUS HAS FALLEN inaangukia kwa star Gerald Butler anayecheza kama mwana usalama aliyepoteza ajira yake kutokana na kifo cha first lady...
Naomba kama kuna link au site yenye miziki ya zamani kutoka DRC zamani Zaire kama ya Ochestra Veve,Super Mazembe nk niweze kudownload mniwekee kwa yeyote nayefahamu tafadhali.
EA radio wameweka wazi majina ma4 ya wasanii kutoka bongo land watakao perform ktk stage moja na wakali toka Nigeria(p-square) wakali hao ni
Prof.J,Lady jd,Ben Pol&Joh Makini! what z ur opinions...
Habari zenu wakuu! Naomba kujuzwa wapi naweza kujirusha Leo? Sikuwa dar kwa muda kidogo,Nimerud na nina hamu ya kwenda music waungwana! Music wa bend km twanga pepeta,Extra bongo,FM academia na km...
Tazama video mpya kutoka kwa mwanadada Shaa katika wimbo uitwao Sugua Gaga chini ya usimamizi wa kampuni ya Mkubwa na Wanae ya Said Fela.
http://youtu.be/dAXYlpnTuOE
Jamani kuna ngoma inachezwa mkoa wa MBEYA inaiywa LING'OMA kweli toka nimeanza kuangalia ngoma za kiasili sijaona ngoma inayo chezwa vizuri kama ngoma ile,yani huwezi kuchoka kuiangalia is the best
Hawa wanamuziki kutoka nchini Congo huwa wanajituma sana jukwaani,nikiangali nyimbo hii kwenye dakika ya 8:58 namuona repa baada ya kumaliza kurep anamkimbilia mkaanga chipsi(mpiga drum)ili...
You Made my day. Nimecheka sana leo wakati wakionyesha jamaa alivyoenda kwa mganga akitaka kuongezewa kipato halafu mganga anampa ma banzi kila akipigwa anasema niongezee kipato mganga kila...
Wasanii hupenda kushirikishana ktk nymbo zao na kufanya kitu kizuri kwa fans wao zipo kolabo nzuri zilizofanyika kwenye industry kwangu mm the best ni ya solothang alowashirikisha afande sele na...
Habari zenyu bhana?
Nitapenda kujadili maana ya "NO WOMAN NO CRY" ambayo ni title iliyobeba maudhui katika wimbo huu wa Bom Marley.
Wengine hutoa maana ya kua (nanukuu) "Hakuna/pasipo na...
Kuna baadhi ya wasanii ambao walikuwa wanafanya vizuri sana katika tasnia ya maigizo na muziki pia,hivi tujiulize kama hadi leo hii wangekuwa hai wangeweza kuendana na hali ilivyo sasa katika soko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.