Midadi uwanja taifa

Midadi uwanja taifa

MPUNGA

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2010
Posts
838
Reaction score
561
Mashabiki wa mpira wa miguu hukumbwa na kimuhe muhe wakati mtanange ukiwa unaendelea ambapo mmoja wapo ni kile kitu kinaitwa MIDADI.

Je una kumbukumbu ya tukio lolote la midadi ulilolipataa kulishuhudia live UWANJA WA TAIFA ama popote pale wakati kabumbu likiwa linasakatwa?
 
kuna mdadi mmoja niliushuhudia pale mshambuliaji wa timu yake alipiga mbizi ya kichwa heee basi naye alikuwa juu kabisa naye akapiga mbizi alijikuta anaserereka juu ya vichwa vya watu mpaka kule chini kabisa akiwa hoooooi kabisa. sitosahau teeeh teeeh teeeh !
 
Back
Top Bottom