Wpendwa mie ni mshabiki sana wa hope channel. Natumia dish la kawaida. Sasa nina mpango wa kutumia dstv or any other tv providers inayokamata. Satr times wanyo ila huwa ikatika katika sana siyo...
kuna nyimbo mbili ambazo zote ni soundrack
nyimbo za Mario Winans
moja ilikuwa soundrack ya filam ya Edie Murphy ya DR Dolitle..
ingine ilikuwa tv movie inaitwa 'the red sneaker'
nimezitafuta...
salaam wakuu...wiki iliyopita nilitumiwa nyimbo kama nne hivi za msaniii mmoja anaitwa baba kundambanda...jamaa ameongea maneno makali sana lakini pamoja na yote ameongea ukweli......mi nasema...
Mwanamziki Justin Bieber ni msanii ambaye anavuma sana haswa kwa vijana na akina dada.
Staa huyu wa miaka 19 ameweza kuiteka dunia kwa nyimbo zake.
Je wazifahamu nyimbo zake?
Waweza kugawa...
Wote ni wanamuziki kutoka Jamaica,wanaimba muziki ambao una ladha nzuri kabisa sweet reggae/riddim,binafsi napata wakati mgumu kujua nani mkali kati yao.
Chini ni baadhi ya nyimbo za kila mmoja...
Nimeona tiketi za concert ya Justin Beiber katika tour yake tarehe 29 Nov, 2013 atakayofanya Sydney Allphone arena
nimeshangaa the way hiyo tiket inauzwa!! na sio mwanamziki maarufu ama legend...
Je unaishi Dar-es-Salaam..? Unakipaji, Uwezo na Elimu ya kupiga picha, kushoot Video na kuedit...?
NOTE:-
1)Uwe na Uwezo wa kutumia Camera zote Old na za kisasa....
2)Uwe na sample za kazi...
Lionel Richie - To Love A Woman ft. Enrique Iglesias - YouTube
To Love A Woman lyrics-Enrique iglesias ft LIONEL RICHIE Enrique:
I don't know what it is but she drives me crazy
I don't know what...
Kama kuna mtu anauza hizi muvi/au anatoa bure naomba tuwasiliane tafadhari....
01. Final destination, part1.......hadi mwisho
02. Wish Master, part1......hadi mwisho
03. Wrong turn...
Word Up!!!
Hopefuly weekend mswano.....kuna jambo naliona sana siku hizi kwenye majukwaa ya matamasha mbalimbali pindi wanapopanda wasanii wa muziki wa Hiphop,suala la kutokuwa na watu wa kubreak...
Salaam wakuu,
Pasi shaka kwa wapenzi wenzangu wa 24 (nimeirudia mwanzo-mwisho 3times) kuna baadh ya matukio ulitokea kuyakubali sana. Hebu tushee hapa:
Kwa upande wangu, mwanzoni kabisa hakuna...
Wandugu ninaomba anaeujua jina lake halisi wimbo wa African Stars band a.k.a Twanga pepeta International we vionjo vya "SUGUA KISIGINO" naomba atupie jina lake hapa ili niweze kuutafuta.
Wasalaam wana jamvi!!
Naomba mwana jamvi mwenye nyimbo hizi mbili zilizo katika high quality aziupload nitadownload nimetafuta kwenye net lakini nimepata zilizo na low quality nyimbo zenyewe ni...
IRENE UWOYA "SHIGONGO ANANICHAFUA KWENYE MAGAZETI YAKE SABABU NINA KESI NAYE MAHAKAMANI"
Ukurasa wa mbele wa gazeti la Risasi la leo Jumamosi (Sept 14) umetawaliwa na habari...
Duh wakuu leo karibia siku nziMa nimekuwa nasikiliza wimbo huu hakika ulinifanya nimchimbe muimbaji wa nyimbo hii Ti kwenye google
kwanza nimekumbuka mbali sana hasa mashairi na chorus aliyoimba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.