King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,851
- 95,073
Umofia Kwenu wana JF,
Leo 30.12.2013 katika kipindi cha mkasi mwanadada Salama Jabir atakuwa anafanya interview na Mch. Anthony Lusekelo aka Mzee wa upako kwa mtaokiona mtujuze mambo atakayoongea huku kwetu umeme umekatika tangia asubuhi! Naungana na Dr.Mengi Muhongo ni Muongo(Alisema mgao utaisha Tar 26.11.2013 hadi leo bado hupo)
Leo 30.12.2013 katika kipindi cha mkasi mwanadada Salama Jabir atakuwa anafanya interview na Mch. Anthony Lusekelo aka Mzee wa upako kwa mtaokiona mtujuze mambo atakayoongea huku kwetu umeme umekatika tangia asubuhi! Naungana na Dr.Mengi Muhongo ni Muongo(Alisema mgao utaisha Tar 26.11.2013 hadi leo bado hupo)