Wakuu wana JF kuna wimbo niliwahi kuusikia miaka ya nyuma kidogo niliupenda ila simkumbuki Msanii wala Jina la Wimbo ila maneno haya yaliimbwa humo:
Kama ni watoto,
fika kwetu posa,
utawaona,utawaona
usifike kwangu utaleta fujo,
na mpenzi wangu wa sasa,tuligombana na wewe, bila kuleta kitu kwetu...
Mwenye kuujua wimbo huu naomba anifahamishe ama yeyote anao anasidie hapa.
Nawasilisha.
Kama ni watoto,
fika kwetu posa,
utawaona,utawaona
usifike kwangu utaleta fujo,
na mpenzi wangu wa sasa,tuligombana na wewe, bila kuleta kitu kwetu...
Mwenye kuujua wimbo huu naomba anifahamishe ama yeyote anao anasidie hapa.
Nawasilisha.