Jumong S
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 7,444
- 10,782
Unamkumbuka msanii aliyetamka hivyo ktk wimbo wake?
Huyu ni O-ten kijana aliyekuwa na bifu kali na Afande Sele.
Jamaa kaishiaga wapi? Hizi ni kauli kali zisizojenga ktk maisha!
Kama ulikuwepo enzi za uchanga wa bongo Fleva, taja msanii mmoja uliyemkubali na akapotea ktk ramani ya muziki. Je, waweza kutukumbusha kauli yake tata?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Huyu ni O-ten kijana aliyekuwa na bifu kali na Afande Sele.
Jamaa kaishiaga wapi? Hizi ni kauli kali zisizojenga ktk maisha!
Kama ulikuwepo enzi za uchanga wa bongo Fleva, taja msanii mmoja uliyemkubali na akapotea ktk ramani ya muziki. Je, waweza kutukumbusha kauli yake tata?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums