Aliyemtajirisha Michael Jackson - Rod Temperton

Aliyemtajirisha Michael Jackson - Rod Temperton

Sikonge

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2008
Posts
11,635
Reaction score
6,231
Anaitwa Rod Temperton.

RodTemperton_1431455c.jpg
RTemperton209.jpg


Pamoja na Michael Jackson kutoa Album yake iliyokuwa sokoni zaidi ya mwaka mzima, ni wimbo wa huyu jamaa ulikuja kubadilisha POP na MJ akawa King wa Pop duniani. Wengine wameshajua ni wimbo gani.....
 
Hapana, siyo hizo nyimbo hapo juu......... ni huu hapa chini......

MN0072610.gif


Yes, THRILLER........
 
Last edited by a moderator:
He came up with the title Thriller after being asked to work on the album by Quincy Jones, the American music producer.

Originally Temperton had called it Starlight but Jones asked him to come up with another title.

Temperton once said: ""I went back to the hotel, wrote two or three hundred titles and came up with Midnight Man.

"The next morning I woke up and I just said this word. Something in my head just said, 'This is the title'.

"You could visualise it at the top of the Billboard charts. You could see the merchandising for this one word, how it jumped off the page as 'Thriller'."


Thriller has sold an estimated 109 million copies worldwide.
Jones had got it touch after hearing Boogie Nights, which Temperton had written as the debut single for Heatwave, a disco band he joined after spotting a local newspaper advertisement.
At the time he joined Heatwave, Temperton had been working in a much less glamourous industry - in the Ross Foods frozen fish factory in Grimsby, Lincs.
Now 61, Temperton has made himself rich by writing a string of hits not only for the King of Pop but also for other stars including Donna Summer, Mariah Carey and Mica Paris.

From: Michael Jackson: How Rod Temperton invented Thriller - Telegraph

 
Miaka kadhaa baadaye, Mtoto wa Quincy Jones aitwaye Kidada ambaye alikuja kuwa Girlfriend wa Legend wa RAP, TUPAC SHAKUR alipendekeza huu wimbo uingizwe kwenye Album ya Baba yake ambayo ilihusisha Wanamuziki wengi mno kama R Kelly, Barry White, Luniz, Shaq O'neal, Naomi Campbell, Phil Collins, Take Six, Tamie, Babyface nk nk.

Kidada Jones alipendekeza huu wimbo aimbe Brandy. Cha kuchekesha ni kuwa, wakati huu wimbo wa Rock with you unaandikwa, Brandy alikuwa hata hajazaliwa bado. Hapo wakamleta pia HEAVY D ili aongeze nguvu.

ENJOY!!!!!



Mambo ya SLOW JAMS: http://www.youtube.com/watch?v=rQ7_cM8sg08
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom