Kuna muvi niliwahi kuangalia, nataka niitafute tena niiangalie ila kwabahati mbaya nimeisahau jina::: ilikuwa inahusiana na marriage, wamecheza wamarekani weusi, inavyoa anza kuna wadada...
Hii niiliyo translate in English
The Tanzanian hip hop is broken, what could save him, young people who want to save him and his ideas were.
The hip-hop variant Bongo Flava stood for the...
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122
Hizo nimezirekodi kwa kutumia simu lakini...
Akitangaza Tamasha kubwa la Kumshukuru Mungu Kwa Kanisa lake Kupata Helkopta mpya Kwa Ajili ya Uinjilist Tanzania, litakalofanyika Kwenye viwanja VYA Kawe-Tanganyika Packers, siku ya Jumapili...
Jamani mimi huwa nayafuatilia sana,yanaonyeshwa EATV Jumamosi saa moja usiku na j5 saa moja.
Ila siwaelewi majaji hua wanaangalia vigezo gani kwa washiriki.
Utakuta washiriki wanadance vizuri...
Wadau samahani kama nitamkwaza mtu lakini binafsi sijapendezwa na zawadi zinazotolewa na shindano la dance 100 linaloendeshwa na channel 5 east Africa television.
Hebu fikiria washiriki...
Ni SONGA na Track yake Ndege.
NDEGE LYRICS
Produced By: Duke Tachez
Verse 1: Songa]
Wengi wanaoskia zile sauti za ndege
Huwa wanahisi ndege anaimba
Lakini mi huwa sina mawazo ya kizembe
Huwa...
Track mpya ya Moyo wangu iliyoimbwa na msanii mwenye kipaji, ujuzi wa sauti na utunzi Spacio "Prince wa Masauti" yawa gumzo tz. Ni baada ya wiki chache kutambulishwa clouds.
Je, wewe umepata...
Ukizungumzia reggae kuna Bob marley, ukija miondoko ya Rock kuna Elvis presley, Pop yupo mtu mzima Michael Joseph Jackson, Hip hop wapo Tupac na Notorious....je nani ameifanyia makubwa zaidi...
Nimetumia account hii (sio akaunti yangu) nikiwa na lengo la kufikisha ujumbe huu.
Jina langu naitwa Blessing(sio mmiliki wa account hii) Jina langu naitwa Blessing nIna umri wa miaka 19 ni...
Hawa jamaa nawakubali sana! naomba mwenye nyimbo za k basili ''wanipa raha" na nyingine aniwekee nipakue pia mwenye wimbo wa Linex-Aifola aniwekee pia! waptrick hizi nyimbo hazipo! naomba msaada...
Nimeitembelea leo hii tovuti, wanadai wanatangaza bure kazi za wasanii pamoja kuuza muziki kwa gharama nafuu. Tovuti iko njema sana na kilichonifurahisha ni kuwa wanatoa mrabaha wa asilimia sitini...
Hii ni orodha kamili ya washindi wa AFRIMMA 2014
Best DJ Africa 2014- Dj Black (Ghana)
Best African DJ USA 2014 Dj Josh (Kenya)
Best Video of the Year 2014- Flavour (Nigeria)
Best Male East...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.