Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kuna muvi niliwahi kuangalia, nataka niitafute tena niiangalie ila kwabahati mbaya nimeisahau jina::: ilikuwa inahusiana na marriage, wamecheza wamarekani weusi, inavyoa anza kuna wadada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii niiliyo translate in English The Tanzanian hip hop is broken, what could save him, young people who want to save him and his ideas were. The hip-hop variant Bongo Flava stood for the...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122 https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=174796&d=1406983122 Hizo nimezirekodi kwa kutumia simu lakini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
We unahisi kwanini wasanii wa hip hop wengi wa Tz hawana mafanikio wa nje
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Mwenye hii nyimbo hebu tuwekee tuipakue!
0 Reactions
2 Replies
949 Views
napenda sana nyimbo za huyu jamaa nazitafuta naomben msaada wa kuzipata (audio) natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Akitangaza Tamasha kubwa la Kumshukuru Mungu Kwa Kanisa lake Kupata Helkopta mpya Kwa Ajili ya Uinjilist Tanzania, litakalofanyika Kwenye viwanja VYA Kawe-Tanganyika Packers, siku ya Jumapili...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Jamani mimi huwa nayafuatilia sana,yanaonyeshwa EATV Jumamosi saa moja usiku na j5 saa moja. Ila siwaelewi majaji hua wanaangalia vigezo gani kwa washiriki. Utakuta washiriki wanadance vizuri...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Je, ujio wa ali kiba katika game unauchukuliaje? Ataweza kurudi katika kiti chake au vipi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
SUBIRA - AMINA CHIBABA SUBIRA - AMINA CHIBABA by RobertEliah - HulkShare
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuupata bofya hapa:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau samahani kama nitamkwaza mtu lakini binafsi sijapendezwa na zawadi zinazotolewa na shindano la dance 100 linaloendeshwa na channel 5 east Africa television. Hebu fikiria washiriki...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni SONGA na Track yake Ndege. NDEGE LYRICS Produced By: Duke Tachez Verse 1: Songa] Wengi wanaoskia zile sauti za ndege Huwa wanahisi ndege anaimba Lakini mi huwa sina mawazo ya kizembe Huwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa series ya Nikita ambao hawakuiona imerudi tena season 4 ya mwisho..Itafute uicheki
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Track mpya ya Moyo wangu iliyoimbwa na msanii mwenye kipaji, ujuzi wa sauti na utunzi Spacio "Prince wa Masauti" yawa gumzo tz. Ni baada ya wiki chache kutambulishwa clouds. Je, wewe umepata...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ukizungumzia reggae kuna Bob marley, ukija miondoko ya Rock kuna Elvis presley, Pop yupo mtu mzima Michael Joseph Jackson, Hip hop wapo Tupac na Notorious....je nani ameifanyia makubwa zaidi...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Nimetumia account hii (sio akaunti yangu) nikiwa na lengo la kufikisha ujumbe huu. Jina langu naitwa Blessing(sio mmiliki wa account hii) Jina langu naitwa Blessing nIna umri wa miaka 19 ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hawa jamaa nawakubali sana! naomba mwenye nyimbo za k basili ''wanipa raha" na nyingine aniwekee nipakue pia mwenye wimbo wa Linex-Aifola aniwekee pia! waptrick hizi nyimbo hazipo! naomba msaada...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimeitembelea leo hii tovuti, wanadai wanatangaza bure kazi za wasanii pamoja kuuza muziki kwa gharama nafuu. Tovuti iko njema sana na kilichonifurahisha ni kuwa wanatoa mrabaha wa asilimia sitini...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Hii ni orodha kamili ya washindi wa AFRIMMA 2014 Best DJ Africa 2014- Dj Black (Ghana) Best African DJ USA 2014 – Dj Josh (Kenya) Best Video of the Year 2014- Flavour (Nigeria) Best Male East...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom