jamani naombeni msaada wenu nimetafuta ninavyojua nyimbo ya Nemo baby sema ila sijafanikiwa so nahitaji mnisaidie link or mahala p kuipatia hiyo nyimbo.
Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi...
Nisalimie sana Humphrey Bogart
Lauren Bacall was among the last of the old-fashioned Hollywood stars and her legend, and the legend of Bogie and Bacall - the hard-boiled couple who could fight...
Umofia kwenu igwe na oga wa JF,
Msanii Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji alijipatia umaarufu kwenye tasnia ya uchekesheji ameamua kutoka na album ya "MTOTO WA MFALME" yenye jumla ya nyimbo...
Wanajukwa kuna wimbo mpya utazinduliwa hivi karibuni umeibwa na msanii anaitwa linex unajulikana kwa jina la wema kwa ubaya, linex katungiwa na Zitto Kabwe, hatujui kwa nini wameamua kuupa jina la...
Msaada wadau..kama unaifahamu movie yoyote ambayo kuna star wa prison break...wale akina michael,linc,sara,killerman,mr kim,tbag,sammy,au sucre anitajie ili nidownload...nawapenda sana hawa jamaa
At least 2.2 million people have already watched "The Expendables 3." The problem for the movie's distributor, Lions Gate Entertainment Corp., is that its big-budget action movie doesn't open...
Hii Nimeiona mahali hivi
Mtangazaji wa kipindi cha sporah show ametuhumiwa kwamba anapenda kukuza mabeef ya wasanii tanzania ama ni yeye kuwa
na elimu ndogo ya utangazaji kiasi kwamba anakosa cha...
Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri.
Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale...
Wajameni nisaidieni kunijuza jina la Msanii na la Wimbo;
Huwa naufumania tu radioni ukiishia, Ni mahadhi ya mchiriku na mashairi ni "Unajiamini kwa uwezo wako na unajiona kama vile uko peke yako...
jamani kama kuna mtu anaweza kunisaidia nyimbo za SOS B za miaka hiyo... maana da huyu jamaa nampenda sana... nimeziangalia kwenye intanet ila duu sijazipata...naombeni msaada jamani
Mwanamuziki kutoka Mwanza,Bob Haisa ameanza ku-shoot video ya wimbo wake mpya 'Lamsondo' akiongea na blog hii alisema "Jun 15, 2014 Niliuachia rasmi wimbo Lamsondo kupitia mitandao mbalimbali...
Wasalaaam!
Wana jamvi ni ukweli ulio wazi kuwa hapa kwetu music wa dance haupewi muda wa kusikika hewani kama ilivyo bongo flavour!
Na pamoja Music huo kupewa muda wa hewani bado hukaa masikioni...
habari za kazi wakuu,
nina shida na jina la romantic movie moja jina nimesahau ila naweza kuelezea kwa mtu atakayeweza kukumbuka naona aniambie ili niitafute. nilishawahi kuangalia mara moja...
Kwa wale wenzangu wapenzi wa muziki huu hasa 'gangsta rap' au g-funk kama wanavyoiita si jina geni Snoop Dogg na pia nadhani mnaikumbuka albam yake iliompa umaharufu mkubwa inaojulikana kama The...
Nilitafuta sehemu yenye kichaka nikijificha,ule mwanga mkali wa gari ulizidi kukaribia mahali nilipokuwepo,niliomba sana ili wasiweze kuniona,maana sikujua lile gari lilikuwa ni la watu...
Msanii wa Bongoflava ambae amerudi kwa nguvu sana katika tasnia hiyo Leo katika mechi ya mpira wa miguu kati ya Bongo Flava na Bongo Movie iliyochezwa katika "Tamasha la Matumaini" lililofanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.