Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

jamani naombeni msaada wenu nimetafuta ninavyojua nyimbo ya Nemo baby sema ila sijafanikiwa so nahitaji mnisaidie link or mahala p kuipatia hiyo nyimbo.
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Nimefanya uchunguzi mdogo tu nimegundua kuwa wasanii wengi wa music Tanzania ni wafupi, sijui kwanini? Au kuna uhusiano wowote ule kati ya ufupi na kipaji? Au ndio ile theory ya kwamba watu wafupi...
0 Reactions
76 Replies
15K Views
Nisalimie sana Humphrey Bogart Lauren Bacall was among the last of the old-fashioned Hollywood stars and her legend, and the legend of Bogie and Bacall - the hard-boiled couple who could fight...
1 Reactions
0 Replies
893 Views
Umofia kwenu igwe na oga wa JF, Msanii Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji alijipatia umaarufu kwenye tasnia ya uchekesheji ameamua kutoka na album ya "MTOTO WA MFALME" yenye jumla ya nyimbo...
0 Reactions
30 Replies
13K Views
Wanajukwa kuna wimbo mpya utazinduliwa hivi karibuni umeibwa na msanii anaitwa linex unajulikana kwa jina la wema kwa ubaya, linex katungiwa na Zitto Kabwe, hatujui kwa nini wameamua kuupa jina la...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Msaada wadau..kama unaifahamu movie yoyote ambayo kuna star wa prison break...wale akina michael,linc,sara,killerman,mr kim,tbag,sammy,au sucre anitajie ili nidownload...nawapenda sana hawa jamaa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
At least 2.2 million people have already watched "The Expendables 3." The problem for the movie's distributor, Lions Gate Entertainment Corp., is that its big-budget action movie doesn't open...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hii Nimeiona mahali hivi Mtangazaji wa kipindi cha sporah show ametuhumiwa kwamba anapenda kukuza mabeef ya wasanii tanzania ama ni yeye kuwa na elimu ndogo ya utangazaji kiasi kwamba anakosa cha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi sio mpenzi sana wa kuangalia filamu, ila mara chache tu huwa naangalia hasa kwenye mabasi ninaposafiri. Kitu kinachonikera kwenye hizi Bongo movie hasa za JB ni kutumia wahusika wale wale...
3 Reactions
66 Replies
13K Views
Wajameni nisaidieni kunijuza jina la Msanii na la Wimbo; Huwa naufumania tu radioni ukiishia, Ni mahadhi ya mchiriku na mashairi ni "Unajiamini kwa uwezo wako na unajiona kama vile uko peke yako...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani kama kuna mtu anaweza kunisaidia nyimbo za SOS B za miaka hiyo... maana da huyu jamaa nampenda sana... nimeziangalia kwenye intanet ila duu sijazipata...naombeni msaada jamani
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwanamuziki kutoka Mwanza,Bob Haisa ameanza ku-shoot video ya wimbo wake mpya 'Lamsondo' akiongea na blog hii alisema "Jun 15, 2014 Niliuachia rasmi wimbo Lamsondo kupitia mitandao mbalimbali...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasalaaam! Wana jamvi ni ukweli ulio wazi kuwa hapa kwetu music wa dance haupewi muda wa kusikika hewani kama ilivyo bongo flavour! Na pamoja Music huo kupewa muda wa hewani bado hukaa masikioni...
6 Reactions
146 Replies
28K Views
habari za kazi wakuu, nina shida na jina la romantic movie moja jina nimesahau ila naweza kuelezea kwa mtu atakayeweza kukumbuka naona aniambie ili niitafute. nilishawahi kuangalia mara moja...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hebu check hii video kama wewe unapenda kutengeneza beat. Huyu jamaa katisha na studio ya jikoni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wenzangu wapenzi wa muziki huu hasa 'gangsta rap' au g-funk kama wanavyoiita si jina geni Snoop Dogg na pia nadhani mnaikumbuka albam yake iliompa umaharufu mkubwa inaojulikana kama The...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
cc:georgeusmimi,malkia,mamayoy o,eiyer,measkron, Blessed,BAK, sr bachelorhttp://youtu.be/zIBsnuDpMuk?list=PL4A99669E7CB FD969
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilitafuta sehemu yenye kichaka nikijificha,ule mwanga mkali wa gari ulizidi kukaribia mahali nilipokuwepo,niliomba sana ili wasiweze kuniona,maana sikujua lile gari lilikuwa ni la watu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watch Bollywood Movie Love in Jungle Full Length Movie on you tube with HD quality
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Msanii wa Bongoflava ambae amerudi kwa nguvu sana katika tasnia hiyo Leo katika mechi ya mpira wa miguu kati ya Bongo Flava na Bongo Movie iliyochezwa katika "Tamasha la Matumaini" lililofanyika...
1 Reactions
13 Replies
6K Views
Back
Top Bottom