Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

wanandugu zangu humu jf hamjambo? nimeipenda sana jf maana hata kama una mawazo ukiingia tu humu tayari unakuwa kama umekunywa tu bia kadhaa twa kuchangamsha akili,wajameni mie nimejiunga majuzi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Leo katika pitapita zangu nimekutana na ngoma hii #Komaa Isikilize au kuishusha hapa hapa JF
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Mie binafsi napenda sana kuwashkuru AZAM Tv kwa kurusha Live Tamasha la Matumaini. Ni matangazo ya ubora wa hali ya juu sana. Mechi zimeisha Za Bongo movie na maswahiba zao,wabunge wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau ningependa kupata idea inakuaje movie inavuja online kabla ya kuachiwa rasmi. Hii inatokana na movie ya the expendables 3 kuvuja ikiwa zimebaki wiki 3 ili itoke rasmi. Pia kwa wapenda...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mtangazaji wa kipindi cha The Colbert Report, Stephen Colbert jana amempa shavu waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda wakati akikikosoa kitabu cha mke wa rais wa zamani wa Marekani, Hillary...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wote hawa ni Maproducer wakubwa ni moja ya mapeoducer wa Mwanzo kabisa walionza na mziki wa bongo fleva wote hawa wana mchango mkubwa katika kuku kwa mziki wa bongo fleva Master Jay akitokea...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
Licha ya kuwa ni radio yenye kuchukiwa na wengi kwenye mitandao ya kijamii Radio Clouds Fm ya Tanzania imeingia kwenye Top 20 ya radio bora Africa. Source...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
TrendyAfrica Magazine President Barack Obama and First Lady Michelle Obama greet with H.E. Paul Kagame, President of the Republic of Rwanda, and his daughter. By Dami Odetola for Trendy...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa wale wadau wa movies, Kama kuna anayefahamu spy movies au ant terrorist movies mpya zilizotoka kati ya May -August 2014 anifahamishe tafadhali. Ahsanteni.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
hata kama kumbeba au kujikomba mpunguze, kila siku mara 4 au 5 mnaweka nyimbo ya linah 'ole themba' na diamond 'mdogo mdogo'.......Wengine je?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ni tukio ambalo kamwe sitalisahau katika maisha yangu. Mke wangu Maria Benard, umenivumilia kwa mambo mengi sana kiasi kwamba a fake wife can't stand those episodes. Wewe ni mrembo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi karibuni takribani mwaka huu wote hadi tulipo leo TBC1 na Komedi ya Masanja, Choti etc haina mvuto kabisa kwa watazamaji kiasi cha watu kukimbilia EATV kule kwa bambo ambao wanaonekana kuziba...
1 Reactions
94 Replies
16K Views
Wakuu, navutiwa sana na hii soundtrack inayotumika kwenye kipindi cha BONGA STAR TV kama ambavyo unaweza kuisikia kwenye clip hapo chini kuanzia 0:00 hadi 0:10. Naombeni msaada, kwa yeyote...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
kati ya hawa madogo wawili young d na young killa nani kati yao unaona ni fundi?
0 Reactions
30 Replies
14K Views
- Wananchi 6,000 au Elfu Sita walijitokeza kushiriki kwenye ile Party yangu niliyoitangaza siku za nyuma hapa JF, ukumbi ulikuwa na uwezo wa kuchukua watu 4,500 tu kwa hiyo wengine 1,500...
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamii katika kipindi hichi cha skukuu ya eid nyimbo ambazo zilibamba Club na kufanya kila mtu mzuka kuwa juu na kucheza bila ya kuchoka ni hizi 20 bora. 1.Mafikizolo ft Davido...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inyoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hivi huyu jamaa anakichwa gani? huwa anadondosha ngoma za akili sana, hii ngoma MAKTABA inanifanya nimkubari kwamba ni msomi kweli.
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Ngoja nijinoe mbavu kwani baadae Golden Tulip itakua ni "sheedah". Jana niliwashuhudia wachekeshaji Anne Kansiime, Omond na Mc Pilipili katika vyombo vya habari. So, leo ndio leo inabidi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kuna muvi niliwahi kuangalia, nataka niitafute tena niiangalie ila kwabahati mbaya nimeisahau jina::: ilikuwa inahusiana na marriage, wamecheza wamarekani weusi, inavyoa anza kuna wadada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom