Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wakuu poleni na majukum ya kila siku. Leo naona kila mmoja atueleze kibao cha bendi au mwanamuziki wa zamani kilivomuingia moyoni na ukiusikiliza wimbo huo unakumbuka nini Mimi nakumbuka kibao...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapenzi wa burudani na wanazi wa tamasha la Burudani lililopewa Jina la Serengeti Fiesta linalotarajiwa kufanyika katika uwanja wa Kaitaba kesho ijumaa,wamepigwa na butwaa baada ya mastaa kibao...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
kiukweli ukiniuliza msanii bora wa r&b basi huyu jamaa anafaanya vizuri sana, Tokea wimbo wa nikikupata, maneno maneno, waubani.. kama haujapata kusikiliza wimbo wake mpya wa Unanichora basi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
kwa mwenye link anisaidie nyimbo za mr2 album ya coming of the age.. nyimbo hizi; 1.kusema 2.hali halisi 3.wamachinga nk..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu wapi nitapata vitabu vya James Hadley Chase....kwa anaye jua tafadhar na bei zake..nipo Dar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kijana anayefanya vizuri kwenye tasnia ya muziki hapa bongo diamond hivi sasa ukitaka kwenda kwenye show yake huna budi kumwaga miekundu mitano(50,000) hii ni bada ya kuweka ujumbe kupitia mtandao...
1 Reactions
80 Replies
11K Views
No. Matches Times 1 Rob Van Dam defeated Cesaro 8:05 2 Dolph Ziggler defeated The Miz 7:52 3 Paige defeated AJ Lee 4:57 4 Rusev (with Lana) defeated Jack Swagger...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilivyo ona picha hii hapa chini Nikajua itakuwa bonge la ngoma! Kwenda kusikiliza nakutana na u.p.u.pu . Sasa ndo muziki gani huo babu? Mashairi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kwa wapenzi woote wa music wa Diamond..kaa tayari kwa video ya wimbo mpya kabisa wa diamond..video inayorecodiwa nje kabisa ya Africa mashariki kwa maandalizi yanayofanywa inatalajiwa kuwa aiana...
0 Reactions
129 Replies
45K Views
Wakuu mwenye Nyimbo ambazo ni live Concert Mp3 za kutoka kwa wanamuziki wa Congo naomba anipm Tafadhari
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kikundi kilicho pata ushindi mwaka jana vipi wanaendelea je mpaka sasa kuhusu maswala mazima ya maendeleo
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Wazima wana jamvi? Linapokuja swala la nyimbo za mapenzi wengi hutaja R'n'B na Pop kuwa ndo kuna nyimbo nzuri za mapenzi. Je umeshasikiliza nyimbo za hawa watu kwenye muziki wa country? Je...
1 Reactions
58 Replies
16K Views
Msanii R.O.M.A mkatoliki a.k.a Ninja amedondosha bonge la track kwa jina la Maumivu akimshirikisha msanii Bob Junior na ndie producer wa wimbo huu toka sharobaro Record. Wimbo umetambulishwa siku...
2 Reactions
7 Replies
9K Views
"Wapendwa mashabiki wangu na wapenzi wa miduara kwa ujumla nifursa nyingine naitumia kutekeleza ahadi yangu kwenu ya kukupatieni ngoma mpya kila tarehe 15 ya kila mwezi.Leo hii nadondosha mduara...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii naomba msaada mnipe link ya kupakua hii series ya kikorea ya Swallow the sun ikiwa na english subtitle. Maana nimetafuta bila ya mafanikio,nimeingia hadi kwenye torrents hola au unakuta...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Historia ya mwanamziki maarufu Diamond kabla hajafikia umaarufu wa sasa unaijua? Kama huijui isikilize hapa Mwanamziki Kide akiielezea kwa njia ya wimbo. <br>
0 Reactions
0 Replies
10K Views
Umofia Kwenu wana JF, Msanii aliyetamba miaka ya 2005 na kundi la Nako 2 Nako lord eyes amegongesha taya na watangazaji wa E.A radio kupitia segment ya Nyunyuzi kwamba next week anaachia ngoma...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Nimekaaa nimemfatilia sana huyu jamaa bado simuelewi elewi mpaka sasa,unashangaa anatoa video kali sanaaa na yeye ndio mwenye wimbo ila kwenye huo wimbo sioni anachoimba au mimi ndio sijui mziki...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Nimeusikiliza huu wimbo mpya wa Mpoto Kwa kweli ni ujumbe muhimu sana unaotakiwa kumfikia Rais. Kama bado hujausikia bofya hapa chini http://m.youtube.com/watch?v=3OZF1yr41Sw
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hamjambo kila mtu ! I like this Tanzanian song called "Vifuu Tundu" : https://www.youtube.com/watch?v=v3OJJRnnsQs Could some one help me by writing the lyrics down, please ? Nimeanza kusoma...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Back
Top Bottom