wanandugu zangu humu jf hamjambo? nimeipenda sana jf maana hata kama una mawazo ukiingia tu humu tayari unakuwa kama umekunywa tu bia kadhaa twa kuchangamsha akili,wajameni mie nimejiunga majuzi...
Mie binafsi napenda sana kuwashkuru AZAM Tv kwa kurusha Live Tamasha la Matumaini.
Ni matangazo ya ubora wa hali ya juu sana.
Mechi zimeisha Za Bongo movie na maswahiba zao,wabunge wa...
Wadau ningependa kupata idea inakuaje movie inavuja online kabla ya kuachiwa rasmi. Hii inatokana na movie ya the expendables 3 kuvuja ikiwa zimebaki wiki 3 ili itoke rasmi.
Pia kwa wapenda...
Mtangazaji wa kipindi cha The Colbert Report, Stephen Colbert jana amempa shavu waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda wakati akikikosoa kitabu cha mke wa rais wa zamani wa Marekani, Hillary...
Wote hawa ni Maproducer wakubwa ni moja ya mapeoducer wa Mwanzo kabisa walionza na mziki wa bongo fleva
wote hawa wana mchango mkubwa katika kuku kwa mziki wa bongo fleva Master Jay akitokea...
Licha ya kuwa ni radio yenye kuchukiwa na wengi kwenye mitandao ya kijamii Radio Clouds Fm ya Tanzania imeingia kwenye Top 20 ya radio bora Africa.
Source...
TrendyAfrica Magazine
President Barack Obama and First Lady Michelle Obama greet with H.E. Paul Kagame, President of the Republic of Rwanda, and his daughter.
By Dami Odetola for Trendy...
Kwa wale wadau wa movies,
Kama kuna anayefahamu spy movies au ant terrorist movies mpya zilizotoka kati ya May -August 2014 anifahamishe tafadhali.
Ahsanteni.
Ni tukio ambalo kamwe sitalisahau katika maisha yangu. Mke wangu Maria Benard, umenivumilia kwa mambo mengi sana kiasi kwamba a fake wife can't stand those episodes.
Wewe ni mrembo...
Hivi karibuni takribani mwaka huu wote hadi tulipo leo TBC1 na Komedi ya Masanja, Choti etc haina mvuto kabisa kwa watazamaji kiasi cha watu kukimbilia EATV kule kwa bambo ambao wanaonekana kuziba...
Wakuu, navutiwa sana na hii soundtrack inayotumika kwenye kipindi cha BONGA STAR TV kama ambavyo unaweza kuisikia kwenye clip hapo chini kuanzia 0:00 hadi 0:10.
Naombeni msaada, kwa yeyote...
- Wananchi 6,000 au Elfu Sita walijitokeza kushiriki kwenye ile Party yangu niliyoitangaza siku za nyuma hapa JF, ukumbi ulikuwa na uwezo wa kuchukua watu 4,500 tu kwa hiyo wengine 1,500...
Habari zenu wanajamii katika kipindi hichi cha skukuu ya eid nyimbo ambazo zilibamba Club na kufanya kila mtu mzuka kuwa juu na kucheza bila ya kuchoka ni hizi 20 bora.
1.Mafikizolo ft Davido...
Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akikata utepe wakati akizindua rasmi albam ya Rose Muhando mwimbaji wa muziki wa injili inyoitwa Shikilia Pindo la Yesu katika onesho kubwa la uzinduzi...
Ngoja nijinoe mbavu kwani baadae Golden Tulip itakua ni "sheedah".
Jana niliwashuhudia wachekeshaji Anne Kansiime, Omond na Mc Pilipili katika vyombo vya habari. So, leo ndio leo inabidi...
Kuna muvi niliwahi kuangalia, nataka niitafute tena niiangalie ila kwabahati mbaya nimeisahau jina::: ilikuwa inahusiana na marriage, wamecheza wamarekani weusi, inavyoa anza kuna wadada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.