YAMOTO Band wanatisha

YAMOTO Band wanatisha

Kingmairo

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2012
Posts
4,936
Reaction score
3,548
Hawa vijana wa yamoto band wana vipaji si mchezo. Nimezisikia nyimbo zao tatu, haina ubishi wapo vizuri. Kinachonivutia zaidi ni vijana wa umri mdogo kama wakiweka juhudi hivi hivi na wasipo bweteka nafikiri watafika mbali sana. Wasanii wengine wajipange na ushindani wa hawa vijana. Big Up vijana, vipaji vyenu ni ajira sahihi.
 
umenunua album yao kuwaunga mkono au umedownload?
Sijadownload wala sijanunua mkuu. Nimsikia kwebye radio. Nadhani hawajatoa album bado ila hawa wakitoa ntawaunga mkono aisee. I like them.
 
napenda nyimbo zao zote
1.mapenzi ya moto
2.Nitajuta
3.Niseme
4.Happybirth day
5.nipeti peti
ukitaka nyimbo zao weka namba yako nikutumie whatsapp
 
Back
Top Bottom