ebhanaeeeee....
nimepakua hii ngoma just now aiseeee.... pini kali na bit mixer redeem imebamba matata. Video ina watoto wakali hatari, kiukweli video ipo kali mbayaaa ingawa AY kuna some movement...
Hellow,
Ni nyimbo ya bongo fleva iliokuwa iki-hit mwaka 2008 kwenye studio za eatv moja ya mistari yake inasema hivi,
"Skiza wimboo ooh na hii story nakumbuka maisha ya zamanii na hii story...."...
It's a sad truth that child actors invariably turn out to have difficult lives. But what of baby actors? Well, happily, things seem to turn out well for those who grace the big screen at a very...
Habari wadau wa JF.
Ninahitaji wimbo unaoitwa zao mtunzi ni Lady Jay D mwimbaji ni marehemu Nasma Hamis......
Tafadhali kama kuna aliyenao anitumie tafadhali....
Shukrani!
HISTORIA YA MIRABAHA TANZANIA
Tanzania ilikuwa na sheria ya Hakimili kuanzia miaka ya 1920, hii ilitokana na kuwa nchi hii ilikuwa koloni la Uingereza na hivyo kufwata sheria za Uingereza katika...
MWAKA UMEANZA NA MOVIE MPYA INAKUTANISHA MIAMBA MIWILI DUNIANI DON YEAN MRITHI WA BRUCE LEE NA MKALI WA MASUMBWI DUNIANI MIKE TYSON HII MOVIE UTAIPATA KAMILI KWNYE YOUTUBE MADUKANI BADO KUFIKA
Kweli huyu jamaa anafikiria sana. Anajua anachokifanya. Kwenye wimbo huu anamsifia Miss Tanzania (Nchi ya Tanzania). Anasema kuwa anampenda sana Miss Tanzania ila Miss mwenyewe hajatulia. Ameacha...
Hi wakuu. Jamani mnamkumbuka 'Da Jo' wa kigamboni? mwanahip-hop wa enzi zile back in days. Miongoni mwa hip-hop female artists wa bongo enzi zile, Da Jo was my favorite. Nilipenda kale kasauti...
Nakusalimuni kwa jina la muumba mbingu na ardhi, natumai mko Na afya njema
Km wewe ni mpenzi wa ngoma za asili Big Family IPO imara kabisa kukupa raha ya aina yake, ngoma za makabila mbambali...
je wewe ni mmoja kati ya wale wanaokubali kuwa biashara ni kujitangaza?
na hizi music websites zaturahisishia upataji wa music nchini?
mfano BONGO STAR LINK , Popular songs | Muziki.net , na...