Kuna wasanii zamani walivuma sana na kujulikana sana. Wapo wengi tu. Sijui wanajishughulisha na nini siku hizi? Kwa mfano watu kama kina AB Skillz, Bablee, Hakeem 5 na wengine wengi. Basi...
mwenye kujua filamu yoyote ya hapa BONGO,..(Bongo movie) yenye viwango stahiki anitajie...haijalishi ni ya mwaka gani..
maana nilizozichek kadhaa kwa wiki hii ZIMEFELI KABISA kuakisi na...
Eh yo shori, alidai mtoko NA MIMI!,
Mradi aonekane kila chocho NA MIMI!,
Club cinema, au beach coco NA MIMI!,
Ili mradi tu nae karuka kopo NA MIMI!,
Nikamwambia sina mkoko LAKINI?,
Uko tayari...
Goma la #MakeMeSing limefanya vizuri miongoni mwa ngoma zinazovuma nchini South Africa.
AKA's new video fires up internet
Azizzar Mosupi | 25 February, 2016 00:46
Make Me Sing is currently on...
Ukifuatiria utunzi wa mashairi kati ya hawa watu wawili utagundua kuwa diamond anafata taratibu zote za kiuandishi katika kuandika mashairi yake vina kati na mwisho...
Lakini king kiba yy ni mkali...
Ni muda sasa nimekuwa nikimsikia huyu jamaa hasa katika upande wa kuchukiwa, watu wanalalamika anawanyonya, anatembea na watangazaji wa redio yake wa kike n.k.
Juzijuzi hapa nikaja kumsikiliza...
Habari wakuu,
Kuna rafiki yangu amenitonya kuwa Kajala Masanja atakuwa ni staa rasmi atakayefanya Special Appearance ktk shindano la Miss CBE pale Billz Posta Ijumaa ya kesho tarehe 26.
Sasa...
“KIFO oooh kifoo, kifooo kifoooo, kifo hakina huruma!” Naam. Ndivyo alivyoimba marehemu Ramazan Mtoro Ongalla ‘Dk. Remmy’ wakati akiwa na bendi yake ya Super Matimila ‘Wana Bongo Beats’...
Sikiliza mashairi ya nyimbo zao kisha tuone nani ni mkali.
JUICY- NOTORIOUS B.I.G
"Juicy"
[Intro:]
(---- all you hoes) Get a grip mother----er.
Yeah, this album is dedicated to all the...
Kituo cha luninga cha StarTV huwa kina kipindi cha tamithiliya siku za jumanne na ijumaa kuanzia saa 3:30 - 4:30 usiku, jumamosi na jumapili kuanzia saa 3:00 -4:00 usiku.
Mara nyingi hupendelea...
Ni wasanii wengi wameimba kuhusu Mama ndani na nje ya nchi, kibongobongo hizi nyimbo 2 za Mama ndizo zilizofanya/zilizowahi kufanya vizuri zaidi na zimetoka katika nyakati tofauti, je ni upi...
Habari wana jf!
Huyu ni msanii wa hapa hapa nchini Caroli Kinasha japo si msanii maarufu ila nyimbo zake nazikubali sana.
Kwa aliye na wimbo uitwao 'Ni Pendo' wa Caroli Kinasha anisaidie.
Msanii alikiba akihojiwa juu ya kufanya kolabo na Daimond na majibu yake.
kwa kweli inatia moyo kidogo. Najua one day bonge la ngoma litashushwa na history itaandikwa kama ikitokea Chib na Kiba...
TCRA imetoa taarifu kwenye mtandao wa twitter wakati ikijaribu kumuelewesha AY na mashabiki wenye dukuduku kuhusu uamuzi huo. Awali uamuzi wa TCRA ulitafsiliwa kuwa video hiyo yenye views...
Huu wimbo wa Beka Ibrozama kwa kweli ni wa "level" nyingine,unasikilizwa na kupigwa hata katika kumbi kubwa za miziki nje ya nchi.Juzi nilikuwa sehemu ukapigwa watu wengi walidhani itakuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.