Bigger than Dolly Parton-Jolene Joleneee

Bado aisee, si umemuona Dolly pamoja na uzee lkn bado anacheza na sauti. Miley ni mzuri lkn hamfikii legend Parton
 
Dolly ana unique voice so hkuna anyeweza mcopy akamfikia. Ni sawa na kumuiga sia ambye pia weng wamejarbu imba kma yeye ila wameshindwa.
 
ngoja ni u download, miley Cyrus namkubali ila maskendo yake yalinifanya niache kumfuatilia
 
Dolly ana unique voice so hkuna anyeweza mcopy akamfikia. Ni sawa na kumuiga sia ambye pia weng wamejarbu imba kma yeye ila wameshindwa.

Kila mtu ana unique voice.
Tunapoimba wimbo wa mtiu hatuigi tuu sauti.
Umeangalia hizo videos?
 
Hawezi kumshinda mwenye wimbo. Vile alivyoimba Dolly ndivyo wimbo wake ulivyo.

Lyrics and tone gives an identity to the song.
But again songs can be altered and become a derivative work.
Hujawahi kuona???
 
Bado aisee, si umemuona Dolly pamoja na uzee lkn bado anacheza na sauti. Miley ni mzuri lkn hamfikii legend Parton

Kila mtu anaweza cheza na sauti.
Dolly anaimba sauti ya pili na Miley Sauti ya Kwanza kitu kinachomfanya Miley aweze kuwa juu kwenye tone,
It means in choir ethics mtu wa tone inayosikika kuliko mwenzake ndiyo anaweza kuwa Choir master.
 
Mkuu labda nikusaidie meaning ya cover song

Mtu anafanya Cover ya msanii mwingine baada ya kuona gaps kwenye original version hivyo anafanya version nyingine kwa ajili ya kucover hizo gaps kwa maana hiyo cover inapaswa kua nzuri kuliko original

Miley bangi zimekua nyingi ni sawa kama kaamua kuimba tu ila hiyo haiwezi kua cover ya Dolly
 
Mtoa mada labda nikusaidie meaning ya cover song

Msanii anafanya Cover ya msanii mwingine baada ya kuona gaps kwenye original version hivyo anafanya version nyingine kwa ajili ya kucover original kwa maana hiyo cover inapaswa kua nzuri kuliko original

Miley bangi zimekua nyingi ni sawa kama kaamua kuimba tu ila hiyo haiwezi kua cover ya Dolly

Umeiangalia video???
Imetoka wakati bado Miley ni Hanna Montana sasa Bangi zinaingiaje hapa????
 
Umeiangalia video???
Imetoka wakati bado Miley ni Hanna Montana sasa Bangi zinaingiaje hapa????
Mkuu itakua humjui miley
Anakula bangi tangu Hanna Montana
Hiyo ya sasa hivi ni mixer ya
Drugs kibao ndio maana anakua kichaa

Back to the point huwezi kufananisha kipaji cha Dolly na Miley hata hiyo ni kumkosea heshima Dolly..
 
Mkuu itakua humjui miley
Anakula bangi tangu Hanna Montana
Hiyo ya sasa hivi ni mixer ya
Drugs kibao ndio maana anakua kichaa

Back to the point huwezi kufananisha kipaji cha Dolly na Miley hata hiyo ni kumkosea heshima Dolly..

Haaaahaaaa,
Jamani Dolly anaimba sauti ya Pili, Miley anaimba ya kwanza.
Kwenye wimbo Miley amekuwa na Sauti ya Juu ndiyo inasikika hapo.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom