1. Gnash ft Olivia O'brien - I hate you, I love you
2. Conor Maynard ft Olivia O'brien- I hate you, I love you (Acoustic Version)
3. Justin Timberlake- Can't stop the feeling
4. One...
Habari wana JF,
Hivi karibuni kumezuka haka ka mchezo ka wasanii chipukizi kurudia nyimbo za wenzao, al maarufu kama cover. Je, hili linaashiria nini? Ni kwamba creativity imepungua maana mwanzo...
Audio nimeisikia kwa mara ya kwanza na wacha tu niseme kipaji ni kipaji tu ametisha sana humu ndani ali kiba bila kumsahau M. I kiufupi ametisha sana ngoma ni nzuri kinoma
Hamu yangu kubwa sasa...
Habari za jioni wanadarisalama na wenzetu wote mlio nje ya jiji la Makonda.
Hapa town (darisalama-in Mbowez voice) mziki wa singeli umekuwa maarufu na umetokea kupendwa kwa kasi kubwa sana...
wakuu na wapenzi wa tamthilia habari,naomba kujua hii tamthilia ya merlin namba 6 tayari imeshatoka na kama imetoka inapatikana wapi,hiyo ni moja.
Mbili,na ile tamthilai ya legend of the seeker...
Nyuki aina ya Dondola ana kiuno gani kiasi cha kuteka attention ya Diamond kwenye wimbo wa Zigo?
Kumbe sanaa ni ujuzi wa mambo si haba! Sikutegemea Diamond angejua lolote kuhusu wadudu wa mwituni...
"Nitunze nifunge nilidhike kuwa na wewe nisiende ndoa ya pili mama kwa malezi na mapenzi kwenda ......." nitunze nitunze nifunge nifunge niridhike kuwa nawe nisiende kwa mke wa pili ma. HUU WIMBO...
Hamasa talk show ni show mpya kwa wakazi wa Kagera,na watanzania wote kwa ujumla.Lengo ni kujadili changamoto mbalimbali na kuzitafutia ufumbuzi,lengo likiwa kusukuma maendeleo.
Show inakutanisha...
Hii ngoma ya nature bana ilinilizaga sana kipindi flani.
Jinsi jamaa alivyo mkali wa chorus na kulalamika dahhhh kweli iliniuma sanaa nikifkiria huwa me nalia hata watoto wadogo wananicheka sana...
Kwa habari toka ofis ya uhamiaji na polisi mmoja pia amesema kuwa bwana huyo yupo Rumande kwa siku kadhaa kutokana na tuhuma za Utapeli.
Kwa wengi wanaomfaham Mkongo huyu wamekuwa na malalamiko...
Nimekuja huku, na vina bila pozi
Mvumbo ni kapuku, kama ze Bitozi
Twende habari kwa vina, nina maana kuandika kwa kuchana
Iwe habari za kina kinana, ama wana wanaolalama life imebana
Hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.